Mtaalam: Watanzania mnadanganywa Stiglers Gorge haiwezekani kwani Kina cha Maji Mto Rufiji kinapungua mno

Hizi ni tabia za watu wasiokuwa na aibu kabisa
 
Kikwete yupi unayemzumgumizia .huyu hata sisimizi wwnajua alikuwa alikuwa dhifu hasa
Wewe huna ujuwalo, soma ulichokikuta kwa wakati wako, ukitaka kkkuelewa ya zamani, uliza kwa heshima na adabu tukumwagie ushahidi, au pitia huu uzi vizuri.

ujinga wa kuongea kijinga peleka kwa mapoyoyo wenzako.
 
Acha uonge hamna sehem yotote kikwete alitaja stigla, yey si alikaa madarakan kww mika 10 .alishindwa nini kufanya hivyo
 
Acha uonge hamna sehem yotote kikwete alitaja stigla, yey si alikaa madarakan kww mika 10 .alishindwa nini kufanya hivyo
 
Acha uonge hamna sehem yotote kikwete alitaja stigla, yey si alikaa madarakan kww mika 10 .alishindwa nini kufanya hivyo
Nenda juu post #158 utakuta links za hapa hapaa JF.


Kijana unashindana na watu tulioujadili mjadala huo hapa hapa JF? Siku hizo labda wewe bado unajiharria kwenye nepi.

Hata jina hujuwi kuliandika, hata uki search hupati jibu. Jifunze kutumia JF kwanza, halafu search "Steigler Kikwete".
 
Kuna mambo ya kusikiliza na yasiyo ya kusikiliza,

Huu upumbafu ni afadhari haukusikilizwa

Kataa DP word, Penda nchi yako
 
wewe khb vipi mmemaliza la DP World kibibi kifupi kinene zero brain
 
Ulikuwa wapi wakati wa madaraka ya Kikwete? Na ulikuwa na miaka mingapi?
kikwete yupi?
huyu fisadi aliyekuwa anaongoza kwa maslahi ya genge lake la wana mtandao?

kama ni huyo dhaifu basi asingeweza hata kujenga bwawa moja, kwanza kauza gasi yetu kijinga
 
Peleka uongo wako huko. Kazi yenu kuzusha sintofahamu ili kupewa dili za kitapeli. Eti mtaalam, mtaalam hana jina? Bwawa ndio linahifadhi maji ya kuzalisha umeme sasa unataka kusema kina cha bwawa ni kidogo? Tayari bwawa limejaza maji mengi karibu yataweza kuanza kuzalisha umeme.
Wee bwana potea zako huko💃🤸
 
Sasa uone haya na soni juu.
Tatizo mlilokuwa nalo la kufikirika, halipo tena.
Bwawa linajaa!!
Mitusi ni kawaida ya mijitu isiyo na akili.
 
Wewe huna ujuwalo, soma ulichokikuta kwa wakati wako, ukitaka kkkuelewa ya zamani, uliza kwa heshima na adabu tukumwagie ushahidi, au pitia huu uzi vizuri.

ujinga wa kuongea kijinga peleka kwa mapoyoyo wenzako.
Kikwete ni bahasha wako shuwain wahead wew ,unamhaba ya kishamba sana
 
Post niliianzisha June 2019 mbona hukuja Kuijibu / Kunijibu mwaka huo huo ili nikuone Wewe Mwanaume kweli na umekuja Kuijibu Kishoga leo hii mwaka 2023?

Pumbavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…