Mtaalamu wa Bakery Products anahitajika

FBY 2013

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2013
Posts
401
Reaction score
90
Wanabodi,
Kwa mwenye mawasiliano/kujuana na Mtaalamu wa Masuala yan Bakery anahitajika Morogoro.
Itapendeza ikiwa atapatikana kutoka either Morogoro,Dar, Pwani au Arusha.
Kama atapatikane uni PM au Tuwasiliane kupitia businessnow271@gmail.com
 
Labda niulize kwa staili nitakayoelewa vzuri, unahitaji watu wa kuoka Mikate & the like au?
Wengi ninaowafahamu sidhani kama wanauelewa wa email issues zaidi ya mobile fone na s.l.p
 
Labda niulize kwa staili nitakayoelewa vzuri, unahitaji watu wa kuoka Mikate & the like au?
Wengi ninaowafahamu sidhani kama wanauelewa wa email issues zaidi ya mobile fone na s.l.p
Exactly Mkuu,awe anafahamu kuoka Mikate,cake,Pizza na Barger....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…