Asante
JF-Expert Member
- Dec 18, 2009
- 2,086
- 1,081
Kwa jamii yote ya JF.
Natafuta mtaalamu wa kupima maji chini ya ardhi anayeishi DSM, kwa ajili ya kuchimba kisima kirefu, kama kuna mwanajamii yeyote anafanya kazi hiyo tafadhali tuwasiliane kwa email hii hapa chini.
Au kama unaye jamaa unamfahamu tafadhali naomba anwani yake.
Asanteni sana.
yosia1@live.com
Natafuta mtaalamu wa kupima maji chini ya ardhi anayeishi DSM, kwa ajili ya kuchimba kisima kirefu, kama kuna mwanajamii yeyote anafanya kazi hiyo tafadhali tuwasiliane kwa email hii hapa chini.
Au kama unaye jamaa unamfahamu tafadhali naomba anwani yake.
Asanteni sana.
yosia1@live.com