Mtaalamu wa kupima maji chini ya ardhi

Mtaalamu wa kupima maji chini ya ardhi

Asante

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2009
Posts
2,086
Reaction score
1,081
Kwa jamii yote ya JF.

Natafuta mtaalamu wa kupima maji chini ya ardhi anayeishi DSM, kwa ajili ya kuchimba kisima kirefu, kama kuna mwanajamii yeyote anafanya kazi hiyo tafadhali tuwasiliane kwa email hii hapa chini.

Au kama unaye jamaa unamfahamu tafadhali naomba anwani yake.

Asanteni sana.

yosia1@live.com
 
Kwa jamii yote ya JF.

Natafuta mtaalamu wa kupima maji chini ya ardhi anayeishi DSM, kwa ajili ya kuchimba kisima kirefu, kama kuna mwanajamii yeyote anafanya kazi hiyo tafadhali tuwasiliane kwa email hii hapa chini.

Au kama unaye jamaa unamfahamu tafadhali naomba anwani yake.

Asanteni sana.

yosia1@live.com

Wasiliana na mtaalamu huyo kwa email hii e_masasila@yahoo.com yupo hapo Dar.
 
Back
Top Bottom