Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Mtaalamu wa mafuta na gesi Tanzania, bwana Elia Wilinasi ameitendea haki field yake ya mafuta na gesi baada ya kuzalisha gesi kutoka kwenye kitalu chake mwenyewe na kufanikiwa kuandika andiko zima ya kile alichokifanya.
www.linkedin.com
Katika project hiyo ameshirikiana na wachina wawili wanaoishi China, msudani mmoja anayeishi Dubai, mkongo mmoja na Mnaijeria mmoja.
Elia Wilinasi on LinkedIn: Nimeitendea haki field yangu ya petroleum (oil and gas) baada ya kuzalisha… | 20 comments
Nimeitendea haki field yangu ya petroleum (oil and gas) baada ya kuzalisha gesi kwenye kitalu changu mwenyewe na kufanikiwa kuandika andiko zima linaloelezea… | 20 comments on LinkedIn
Katika project hiyo ameshirikiana na wachina wawili wanaoishi China, msudani mmoja anayeishi Dubai, mkongo mmoja na Mnaijeria mmoja.