Mwitakesowani
Member
- Jul 24, 2012
- 94
- 29
Habari wanajamii forum wenzangu....
Kwa yeyote anayefahamu dokta au mtaalamu yoyote anayehusika na maswala ya usingizi naomba anijuze hapa niweze kumuona. Kifupi nakosa usingizi kwa muda mrefu hivyo nataka niende hospital kwa tiba.. Asanteni kwa maoni na ushauri
Kwa yeyote anayefahamu dokta au mtaalamu yoyote anayehusika na maswala ya usingizi naomba anijuze hapa niweze kumuona. Kifupi nakosa usingizi kwa muda mrefu hivyo nataka niende hospital kwa tiba.. Asanteni kwa maoni na ushauri