Mtaani hali ngumu hata kazi za kujitolea hakuna wap tunaekea?

Mtaani hali ngumu hata kazi za kujitolea hakuna wap tunaekea?

Vladivostok

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2022
Posts
307
Reaction score
1,387
Nimetoka ofisi moja asubuh kutafuta kazi ya kujitolea wameniambia hakuna imagine kazi ya kufanya bure hakuna vitu bei juu wap tunaelekea hali ni ngumu mno hela haina thaman kabisa soon tutaelewana .
 

Attachments

  • 659bd93fc1144a5a819446c0b168dd1f.mp4
    4.3 MB
MKUU POLE AISEE

JINA LA HIYO BONGO MOVIE HAPO NI IPI
 
Nimetoka ofisi moja asubuh kutafuta kazi ya kujitolea wameniambia hakuna imagine kazi ya kufanya bure hakuna vitu bei juu wap tunaelekea hali ni ngumu mno hela haina thaman kabisa soon tutaelewana .
Umesomea nini mkuu
 
Hali ni ngumu nawaza hapa sijui niende Rita au Firm ipi kesho nikaombe nijitolee
 
Back
Top Bottom