Nyarupala
JF-Expert Member
- Jun 2, 2024
- 494
- 856
Hayafiki kabisa hukuSisi juzi yalirudi tukajaza yakajatika na leo natoka job nakuta yanaflow
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayafiki kabisa hukuSisi juzi yalirudi tukajaza yakajatika na leo natoka job nakuta yanaflow
Hili jambo limetuokoa watu wengi wa maeneo mbalimbali sio tu kigamboni.Wale waliochimba visima Kigamboni na kusambazia watu pepo wataiona. Maana bila hivo DAWASA wangetutesa sana
Cc. Vincenzo Jr
Mbunge hapo anatembelea v8 ya milioni 600.TANGIA TUPATE UHURU KIJIJI CHA KANGATA HANDENI HAWAJAWAHI KUPATA MAJI YA BOMBA.
Na kutengeneza sanamu.Serikali za CCM zinachoweza ni warsha, kujengea wastaafu majumba mapya wakati wana mijumba lukuki, kununua magari mapya kila mwaka, safari za nje zisizo na tija, kuteua kutengua, lakini mambo ya maana kama kutatua kero za maji kwa wananchi hawawezi
Kabisa hili ni wazo zuriHili jambo limetuokoa watu wengi wa maeneo mbalimbali sio tu kigamboni.
Kuna siku nilikua nawaza kwanini serikali mtaa za maeneo mbali mbali wasianzishe mradi wa mtaa watu wajichangine vichimbwe visima na kusambaziwa maji
Maana huku maeneo tulipo ni wstu binafsi wamechimba ndo wanatusambazia wananchi wengine kwa malipo ya mwezi. So ni jambo linawezekana mtaa kwa mtaa kws maeneo yenye maji
Ni wazo linalowezekana kabisa hili mkuu. Mambo ya kubeba ndoo kwa dar es salaam ni muda wa kuachana nayoKabisa hili ni wazo zuri