Mtaani wanauliza, kwanini wanaoachiwa ni matajiri wenye kesi za ufisadi?

Mtaani wanauliza, kwanini wanaoachiwa ni matajiri wenye kesi za ufisadi?

Serikali ya kulinda vibosire sasa iko madarakani; serikali ya kula na kuwahadaa wananchi sasa iko madarakani; serikali ya maneno mengi na vitendo kiduchu sasa iko madarakani. Serikali ya kutetea ufisadi, rushwa, uhujumu-uchumi, uzembe, upigaji-dili, na ubadhirifu sasa iko madarakani. Uzalendo sasa ni suala la historia. Utetezi wa wanyonge ni historia.

Anyways, tuchape kazi tu kwa bidii maana yajayo yanafurahisha. Kama Mzee Ruksa, Mzee wa Masasi na yule wa Msoga awamu zao zilipita, basi na huyu naye ni suala la muda tu.
Jasmoni Tegga. Hope you are a man, any enemy of the people.
 
Baada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.

Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?

Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!

Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.
Kuna sheria mpya plea bargaining....unakiri kosa na kukubali kulipa kiasi fulani pesa uliokwapua.....sasa kibaka wa kuku au kubaka hana hiyo room
 
Mwendazake aliwachukia matajiri na kuwabambikia kesi za uongo na aliahidi wataishi kama mashetani, kaja malaika anawatoa kuzimu na yeye anapelekwa huko
Ni kweli mkuu naona wawekezaji wameanza kuachiwa huru.

Ameanza Seti na Sasa kafuatia Papaa Msofe

Tuwe na subira tu tutaanza kuokota hela barabarani.
 
Maskini gani alikuwa na kesi ya uhujumu uchumi? Wewe kama uliiba kuku mvua zinakuhusu
 
Baba jifunze kufuatilia vitu.

Kaangalie alisema hivyo kwaajili ya nini, hizi perepeche tafuta watu wanaozientertain.
Wewe ulimwelewa alikuwa anazungumzia kona moja tu ya jengo, lakini wenye akili na busara wanafahamu alikuwa anaongea kuhusu nyumba nzima. Pls grow up even 4 -- 5 minutes, sawa!???
 
Wewe ulimwelewa alikuwa anazungumzia kona moja tu ya jengo, lakini wenye akili na busara wanafahamu alikuwa anaongea kuhusu nyumba nzima. Pls grow up even 4 -- 5 minutes, sawa!???
Hahaha omba nafasi ya uchekeshaji kikundi cha Kashi Kashi Group kuna nafasi ipo wazi. Huwezi kua na kipaji kama hiki halafu ukeshe jf kujibizana huku haulipwi.
 
Baada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.

Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?

Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!

Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.
Ndio walioonewa
 
Labda wanaachiwa ila media haziwapi kipaumbele maana media nazo huwa zinaangalia habari ipi inauza.
 
Baada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.

Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?

Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!

Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.
Nyingi ni kesi za kubambikwa na Mwendazake.
Yule jamaa alikuwa na roho mbaya sana.
Kesi ya kubambikwa iliyoniumiza sana ni ile ya Mzee Shamte wa Mkonge Tanga, aliyekuwa Mwenyekiti wa TPSF.
Mzee huyu aliwahi kumpa ukweli Mwendazake kwenye masuala ya biashara, matokeo yake Mwendazake alimbambika kesi ya uhujumu uchumi na mzee alifia lupango.
Anyway tunalipa ubaya wetu hapahapa.
 
Fix tu hizo
Ndiyo ukajifunze Kiswahili kwamba ^ajabu^ maana yake pia ni kitu chenye uzuri wa namna yake, kinachopendeza sana na kustajaabisha zaidi na chenye mvuto usio wa kawaida. In short, JPM ametutoa kimasomaso -- 5 years of unparalleled positive social, political and economic change.

^JPM kwa miaka 5 tu ametenda mambo makubwa mno ambayo mimi na wenzangu tulishindwa kuyafanya kwa miaka 40^ ~ alisikika Mstaafu mmoja hivi aliyepewa zawadi ya benzi.
 
Baada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.

Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?

Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!

Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.
Hao wanaouliza hayo maswali, bila shaka wamepungukiwa uelewa. Marehemu aliwahi kuwabambikia kesi za uhujumu uchumi au utakatidhaji fedha haramu maskini?

Kuna mahali marehemu aluwahi kutamka kuwa atawafanya maskini waishi kama mashetani?

Kuna maskini ambao akaunti zao zilifungiwa, na hela kuporwa na marehemu?

Wanaoachiwa sasa hivi ni wale waliobambikiwa kesi na marehemu, za uhujumu uchumi na urakatishaji fedha. Ni wale ambao marehemu aliamua waishi kama mashetani.
 
Baada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.

Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?

Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!

Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.
Kwasababu serikali imewashikilia bila kuwapeleka mahakamani ilikuwa inasubiri tu wakubaliane na DPP ili walipe na wala haikuwa na lengo la kuwafungulia mashtaki taingia awali maana ilijua kuwa haiwezi kushinda kwakuwa washiriki wakuu kwenye upigaji walikuwa pembeni hawakuguswi na hapo ndipo ushahidi ulipokuwa mgumu. Unamfungaje Rugema na Seth bila kumtaja flani?
Usijali tumewaachia pia Masheikh wa uhamsho
 
Watu kila mara huachiwa huko magereza/mahakamani, kama hawakua maarufu huwezi kuwafahamu wala kupata habari zao, hao mnaona kama wanapendelewa sababu ni maarufu kwa hivyo kutoka kwako mmefahamishwa,

Serikali yetu haijawahi kupenda kuweka watu magerezani ndio maana wakiona mtu kesi yake haina kichwa wala miguu au ametumikia kifungo lakini ana adabu na mwenendo mzuri basi huachiwa huru.
 
Watu kila mara huachiwa huko magereza/mahakamani, kama hawakua maarufu huwezi kuwafahamu wala kupata habari zao, hao mnaona kama wanapendelewa sababu ni maarufu kwa hivyo kutoka kwako mmefahamishwa,

Serikali yetu haijawahi kupenda kuweka watu magerezani ndio maana wakiona mtu kesi yake haina kichwa wala miguu au ametumikia kifungo lakini ana adabu na mwenendo mzuri basi huachiwa huru.
Wishful thinking.
Rais Mama Samia aliamuru kesi 147 za kubambikwa na TAKUKURU zifutwe.
Akafyeka kichwa cha Mkuu wa TAKUKURU Gen Mbung'o.
Na akaiambia polisi wafanye hivyo.
 
Back
Top Bottom