Jasmoni Tegga. Hope you are a man, any enemy of the people.Serikali ya kulinda vibosire sasa iko madarakani; serikali ya kula na kuwahadaa wananchi sasa iko madarakani; serikali ya maneno mengi na vitendo kiduchu sasa iko madarakani. Serikali ya kutetea ufisadi, rushwa, uhujumu-uchumi, uzembe, upigaji-dili, na ubadhirifu sasa iko madarakani. Uzalendo sasa ni suala la historia. Utetezi wa wanyonge ni historia.
Anyways, tuchape kazi tu kwa bidii maana yajayo yanafurahisha. Kama Mzee Ruksa, Mzee wa Masasi na yule wa Msoga awamu zao zilipita, basi na huyu naye ni suala la muda tu.
Tumepigwa au vipi?
Kuna sheria mpya plea bargaining....unakiri kosa na kukubali kulipa kiasi fulani pesa uliokwapua.....sasa kibaka wa kuku au kubaka hana hiyo roomBaada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.
Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?
Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!
Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.
Ni kweli mkuu naona wawekezaji wameanza kuachiwa huru.Mwendazake aliwachukia matajiri na kuwabambikia kesi za uongo na aliahidi wataishi kama mashetani, kaja malaika anawatoa kuzimu na yeye anapelekwa huko
Wewe ulimwelewa alikuwa anazungumzia kona moja tu ya jengo, lakini wenye akili na busara wanafahamu alikuwa anaongea kuhusu nyumba nzima. Pls grow up even 4 -- 5 minutes, sawa!???Baba jifunze kufuatilia vitu.
Kaangalie alisema hivyo kwaajili ya nini, hizi perepeche tafuta watu wanaozientertain.
Mkuu unapitiliza, Mbwa tena?Kwasababu yule umbwa aliyefukiwa kule chattle aliwaaminisha hao wa mitaani(wanyonge) kuwa kila aliyefanikiwa ni fisadi anapaswa kufungwa na kufilisiwa ili aishi kama shetani.
Hahaha omba nafasi ya uchekeshaji kikundi cha Kashi Kashi Group kuna nafasi ipo wazi. Huwezi kua na kipaji kama hiki halafu ukeshe jf kujibizana huku haulipwi.Wewe ulimwelewa alikuwa anazungumzia kona moja tu ya jengo, lakini wenye akili na busara wanafahamu alikuwa anaongea kuhusu nyumba nzima. Pls grow up even 4 -- 5 minutes, sawa!???
Mmegeuka watetezi wa mafisadiMbona wao wakati wa kukamatwa hatukutangaziwa?
Kwahiyo mtaani unakaa wewe tu, sisi tunaishi mitini porini?!?Mkuu mimi nimenukuu mitaani yanayosemwa, watu wamevurugwa.
Ndio walioonewaBaada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.
Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?
Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!
Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.
Nyingi ni kesi za kubambikwa na Mwendazake.Baada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.
Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?
Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!
Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.
Ndiyo ukajifunze Kiswahili kwamba ^ajabu^ maana yake pia ni kitu chenye uzuri wa namna yake, kinachopendeza sana na kustajaabisha zaidi na chenye mvuto usio wa kawaida. In short, JPM ametutoa kimasomaso -- 5 years of unparalleled positive social, political and economic change.
^JPM kwa miaka 5 tu ametenda mambo makubwa mno ambayo mimi na wenzangu tulishindwa kuyafanya kwa miaka 40^ ~ alisikika Mstaafu mmoja hivi aliyepewa zawadi ya benzi.
Hao wanaouliza hayo maswali, bila shaka wamepungukiwa uelewa. Marehemu aliwahi kuwabambikia kesi za uhujumu uchumi au utakatidhaji fedha haramu maskini?Baada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.
Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?
Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!
Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.
Kwasababu serikali imewashikilia bila kuwapeleka mahakamani ilikuwa inasubiri tu wakubaliane na DPP ili walipe na wala haikuwa na lengo la kuwafungulia mashtaki taingia awali maana ilijua kuwa haiwezi kushinda kwakuwa washiriki wakuu kwenye upigaji walikuwa pembeni hawakuguswi na hapo ndipo ushahidi ulipokuwa mgumu. Unamfungaje Rugema na Seth bila kumtaja flani?Baada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.
Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?
Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!
Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.
Wishful thinking.Watu kila mara huachiwa huko magereza/mahakamani, kama hawakua maarufu huwezi kuwafahamu wala kupata habari zao, hao mnaona kama wanapendelewa sababu ni maarufu kwa hivyo kutoka kwako mmefahamishwa,
Serikali yetu haijawahi kupenda kuweka watu magerezani ndio maana wakiona mtu kesi yake haina kichwa wala miguu au ametumikia kifungo lakini ana adabu na mwenendo mzuri basi huachiwa huru.
Acha kuonea wivu wawekezajiMmegeuka watetezi wa mafisadi