Haya babe nitakuja nikuchukue kesho kwa sasa wacha nilaleSasa mm nakukataaje ww wakati ndie kigoma wangu nami treni nishafika
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Haya bebe wangu usiku mwema...
Sawa mangi nitakutumia kesho Heaven Sent heinken zinaizwa shngapi asije akanipunja huyu mangi teh unapomuuliza muislamu bei ya kitimoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeeh ndiwooooooo
Abeeeee
Uuwiiii. 🙏🙏🙏Shadeeya.
Huyu ni mwanamke mwenye umri kati ya miaka 28-32 ni mpole, mwenye busara,mke na mama wa watoto. Anapenda kujisitiri na anatokea kanda ya Kaskazini.
Anapenda Mpira pia. Ni shabiki wa Yanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti Dada nimepatia? [emoji1][emoji1]Uuwiiii. [emoji120][emoji120][emoji120]
Ila mdogo wangu nataka nihamie thimba eti. [emoji41][emoji41]
Kweli umepatia mwaya. Hapa nawaza sijui umepata desa wapi. 🤣🤣🤣🤣Eti Dada nimepatia? [emoji1][emoji1]
Karibu sana huku No stress [emoji4][emoji4]
Nasikia Leo unaanza safari ya Congo [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli umepatia mwaya. Hapa nawaza sijui umepata desa wapi. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio najiandaa hapa. Teh teh
Mi ni nwekundu ila umri umekwenda sanaNgoja niwe napitia comments kuangalia watakaofaa kuwa wachumba[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Muwe mnaandika kama ni weusi au weupe[emoji12][emoji12][emoji12]mnirahisishie kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha Weee.Hahaaa kwa Mshana [emoji2]
Haya Dada ufike salama angalia usipate BP
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaaa jidanganye tu utarudi unalia [emoji1][emoji1]Wacha Weee.
Hahahaaaa. Kule Congo hatuwezi pata presha najua itakuwa raha mwanzo mwisho kwanza kuna wenyeji wetu kule.
CC. mtuchake.
Hujambo lakini?
Hahahaaaa. Haya.Hahaaaaa jidanganye tu utarudi unalia [emoji1][emoji1]
Kumbe mtuchake yuko Congo mwambie akuandalie malazi kabisa.
Niko salama Dada.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aiseeeNajitabiria mwenyewe.
Mimi nina kibamia, mweusi, mfupi, mwembamba
Umri ni kati ya 35-50.
Aliyenipenda jamani, kazi yangu ni kuli wa mizigo soko la mbuyuni.
Dada yeyote aliyenipenda aje PM tubadilishane namba sichagui dini wala kabila.
Wewe endelea tu kujipenda mwenyeweNajitabiria mwenyewe.
Mimi nina kibamia, mweusi, mfupi, mwembamba
Umri ni kati ya 35-50.
Aliyenipenda jamani, kazi yangu ni kuli wa mizigo soko la mbuyuni.
Dada yeyote aliyenipenda aje PM tubadilishane namba sichagui dini wala kabila.