Kwa mwaka wa pili mfululizo ktk historia nina uhakika fainali itahusisha la liga ktk uefa champs ligi hapo tarehe 6 juni jijini Berlin nchini Ujerumani,yaani el clasico,timu bora duniani zenye wchezaji bora duniani yaani Barca vs Real Madrid,leo Juve anachapwa 3 kwenda mbele na Real Madrid,la liga ni ligi bora ukiikosa jimalize,kuanzia mwaka 2011 mpk leo 2015 la liga inaingiza timu 2 semi final ktk uefa champs ligi,sambamba na hilo ktk uefa alhamisi almarufu uefa ndogo europa ligi Sevilla ana nafasi kubwa ya kutetea tena ubingwa wake,viva la liga.