Sangomwile
JF-Expert Member
- Aug 17, 2012
- 3,211
- 1,059
Nachangia kama Mwathirika wa Tatizo nilipiga paper 2003 nikawa na pointi 20 yaani division 2 na Comb. POINT 7 Yaani Eng.Science (PHYSICS) A,BIOLOGY C, CHEMISTRY C, Math. Kwa bahati mbaya nikawa na "F" wakanipenati hadi division 3 ,nikapata post ya Primary school Teacher, iki ki2 sitasahau Untill 2 die.
Nahisi huyu jamaa atakuwa yeye mwenyewe ndiyo alifanya mtihani ana wasiwasi na matokeo yake sasa anajaribu kudodosa kiaina.Taarifa zake hazina ukweli kwa sababu:
1.Kwanza mitihani ya kidato cha nne 2013 sasa ndiyo wana sahihisha,na hata labda wakawa wamemaliza hayajawa tayari kwa kiwango hicho.
2.Hajatuambia ni wapi ameyaona matokeo hayo kwani mpaka sasa bado ni siri.
3.Wanafunzi wa kidato cha nne hawafanyi somo la Divinity.
4.Kimantiki,hata alama alizo weka hapo ni za walakini,
Hivyo taarifa zake hazina ukweli kwa maoni yangu mimi
umetoa hayo maoni kwa kuwa ni muhanga (hisia), mtaalamu wa Elimu, au kwa kuwa ni asubuhi.
Nashauri Hesabu isomwe kama somo hapa A - Level, kwa kuwa kuna watu wanaacha Hesabu pindi tu wanapoingia kidato cha Tatu, yaani, wapo tayari kufeli Kidato cha Nne.
Je. Nilichopost ni uongo? kwa maana ya context and not words?
Watahiniwa wanaofeli hesabu hawapati adhabu? Tujadili muktadha na sio makosa madogo.
Nashukuru kunikosoa.
Mh...hainiingii akilini... yaani uwe na A ya Physics halafu upate F ya basic MATHS....Nachangia kama Mwathirika wa Tatizo nilipiga paper 2003 nikawa na pointi 20 yaani division 2 na Comb. POINT 7 Yaani Eng.Science (PHYSICS) A,BIOLOGY C, CHEMISTRY C, Math. Kwa bahati mbaya nikawa na "F" wakanipenati hadi division 3 ,nikapata post ya Primary school Teacher, iki ki2 sitasahau Untill 2 die.
kumbuka miaka hiyo walikuwa wanaiba paper kinoma,otherwise ni uongo uliotukukaMh...hainiingii akilini... yaani uwe na A ya Physics halafu upate F ya basic MATHS....
kumbuka miaka hiyo walikuwa wanaiba paper kinoma,otherwise ni uongo uliotukuka