Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mkuu wewe Ni soo , yaan picha TU 😊 😅Naamm Pita Shumaikah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe Ni soo , yaan picha TU 😊 😅Naamm Pita Shumaikah
Nilikuwa namuelewa Sana hata picha zake za stika kwenye bablish za Enzi hizo,,Acha tuuMkuu wewe Ni soo , yaan picha TU 😊 😅
Ni timu gani ilifungwa?Nafikiri hujui kiingereza, hivyo hukuelewa yaliyoandikwa kwenye gazeti hilo ulilokwoti.
Nitakusaidia kulielewa. Kwanza kabisa tambua kuwa timu ya Simba iliyoandikwa humo siyo hii ya Msimbazi.
Mwaka 1977 wakati wa utawala wa Amin, timu ya Express FC ambayo kapteni wake alikuwa Masajjage ilicheza na timu ya Simba FC ambayo ilikuwa ni ya jeshi la Uganda ikitokea Simba Batallion. Katika mchezo huo Express iliifunga Simba ambao 2-0. Wanajeshi baada ya kufungwa wakaitembezea Express mkong'oto wa nguvu sana kwa hasira za kufungwa. Masajjage hakufungwa.
Simba; Soma gazeti hiloNi timu gani ilifungwa?
Faiza foxWakuu,
Katika maisha yako ya soka ni golikipa au makipa gani uliotokea kuwakubali zaidi katika soka la bongo,au Duniani kwa ujumla?
1998 iyo tulikuaga na madaftar ya picha za wachezajiNilikuwa namuelewa Sana hata picha zake za stika kwenye bablish za Enzi hizo,,Acha tuu
Amen!!✊✊😅😅😅1998 iyo tulikuaga na madaftar ya picha za wachezaji
1.Often Martin-ushirika Moshi
2.Bahatisha Ndulute-ushirika Moshi
3.Oliver Khan- Bayern Munich
4.Gianluca "Gigi" Buffon-Juventus
5.Rifat Said-Young African
6.Steven Nemes-Young African
7.Mohamed Mwameja-Simba Sport Club
8.Ike Casillas-Real Madrid
9.Brad Fiedel-Blackburn Rovers
10.David Seaman-Arsenal