Mtaje Golikipa wako pendwa zaidi katika soka

Mtaje Golikipa wako pendwa zaidi katika soka

Nafikiri hujui kiingereza, hivyo hukuelewa yaliyoandikwa kwenye gazeti hilo ulilokwoti.

Nitakusaidia kulielewa. Kwanza kabisa tambua kuwa timu ya Simba iliyoandikwa humo siyo hii ya Msimbazi.

Mwaka 1977 wakati wa utawala wa Amin, timu ya Express FC ambayo kapteni wake alikuwa Masajjage ilicheza na timu ya Simba FC ambayo ilikuwa ni ya jeshi la Uganda ikitokea Simba Batallion. Katika mchezo huo Express iliifunga Simba ambao 2-0. Wanajeshi baada ya kufungwa wakaitembezea Express mkong'oto wa nguvu sana kwa hasira za kufungwa. Masajjage hakufungwa.
Ni timu gani ilifungwa?
 
Edwin Van Der Sar

Ivon mapunda

David de gea

Peter cech
 
nje ya tanzania:
1. gianluca pagliuca
2. angelo peruzzi na
3. francesco toldo

tanzania:
1. mackenzie ramadhan
2. idd pazi
3. mohamed mwameja na
4. juma kaseja.
 
Bile Schemichel , Bila Kahn , Bila Zico list inakuwa batili
1.Often Martin-ushirika Moshi
2.Bahatisha Ndulute-ushirika Moshi
3.Oliver Khan- Bayern Munich
4.Gianluca "Gigi" Buffon-Juventus
5.Rifat Said-Young African
6.Steven Nemes-Young African
7.Mohamed Mwameja-Simba Sport Club
8.Ike Casillas-Real Madrid
9.Brad Fiedel-Blackburn Rovers
10.David Seaman-Arsenal
 
Back
Top Bottom