Mtaje JF member ambaye ni rafiki yako huko mtaani

Katoto ndizi maini yaani sotojo tojo
Go gaga go gaga fanya kama unataka usivunje chaga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ntunzu baby na mm nakusaidia kuimba

Wow!!

Sijui tuingie studio tupige kolabo kabisa...

Ila Mzigua90 atawanga....atasema kaa mbali na Ngabu.

Damn it!!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenyewe nakuogopa achana na wanga wa mzigua

Unaniogopea nini wakati mimi ni joka la Kibisa...

Sing’ati. Sikabi.

Kwa ufupi sina madhara yoyote.

Ijumaa njoo hapo tupunge upepo mwanana wa bahari ya Hindi....😂

 
Sasa bby si alikuja yeye Ana crush na mimi ilimbidi avumilie tu. Analalamika hadi najisikia dhambi. Miaka zaidi ya 7 nae hakati tamaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahhahaha ana haki ya kukuweka kati hivi ujue ghafla tu umemkimbia mwenyewe nilishangaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…