ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Sote tunaishi kitaa humo pia tuko na wenzetu ambao pia wanawakilisha vizuri pande hizi za jf.marafiki wa ukweli na Ni muda wa kuwapa ma shout out ya nguvu.me mwenyewe binafsi nawapa salute wafuatao na uzuri wote wapo JF japo kwa ID tofauti na majina Yao ninayoyajua
1.ticha, stopper,chabamba, Hussein white wote Ni wanangu kutokea Riverside ubungo bila nyie sijui ningekuwa Nani kwenye hili jiji.
2.magufuli,chikoyo,mfweje,mwanamfyale,bibii wote wanangu kutokea makoka na wote Hawa tupo nao jf
3.mbonde,makala..wahuni flani kutokea kimara salute kwenu najua post hii mtaipitia
4.kichwa,dust,mafactor wanangu wa k koo.maujanja supplier unit
5.harid kutokea barakuda
6.mshua kutokea pande za Micasa unajijua
7.mapacha wa tabata kimanga nawakubali hamkwami
8.mwanangu mwenyewe blood sad kutokea kiwalani humu jf unakimbiza Sana
Ujumbe:mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
1.ticha, stopper,chabamba, Hussein white wote Ni wanangu kutokea Riverside ubungo bila nyie sijui ningekuwa Nani kwenye hili jiji.
2.magufuli,chikoyo,mfweje,mwanamfyale,bibii wote wanangu kutokea makoka na wote Hawa tupo nao jf
3.mbonde,makala..wahuni flani kutokea kimara salute kwenu najua post hii mtaipitia
4.kichwa,dust,mafactor wanangu wa k koo.maujanja supplier unit
5.harid kutokea barakuda
6.mshua kutokea pande za Micasa unajijua
7.mapacha wa tabata kimanga nawakubali hamkwami
8.mwanangu mwenyewe blood sad kutokea kiwalani humu jf unakimbiza Sana
Ujumbe:mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo