Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiacha ufupi wake kuna wakati aliokoa mipira ya kichwa iliyokuwa inaenda golini.Alisifika kwa uwezo wa kuokoa mipira ile ambayo ilikuwa ikielekea golini kabisa.Huu ulikuwa ni mmoja wa upekee wake.Alichezea pamba ya mwanza mengine wataongeza wadau.Huu ni uzi maalum wa kutaja wachezaji wa zamani ambao hukuwahi kuwaona wakicheza. Ukishawataja subiria wakongwe waliomuona akicheza waje wakuoe sifa zake.
Mimi sijawahi kumuona George Magere Masatu akicheza, naombeni mnitajie uwezo wake maana yupi hyped sana
Alisifika kwa mashuti mpaka kukawa na uvumi kwamba aliwahi kuua kipa,Sembuli
Hawa walikuwa wachezaji wa ndovu ya arusha wakati huo.Muhhidin Cheupe, Lila shomari
Hebu nipe link ya Zico wa Kilosa nikamtazame na mimi huko youtubeWote nimewaona,maclip yamejaa youtube huko
Fundi wa mpira akitumia mguu wa kushoto. Alikuwa anachukua sana kijiji kwa kukokota mipira huku akitegemea zaidi kasiNimemsahau Ryan Gigs huyu nimekuta picha zake tu kwenye makalenda..
Zamoyoni mogellaHuu ni uzi maalum wa kutaja wachezaji wa zamani ambao hukuwahi kuwaona wakicheza. Ukishawataja subiria wakongwe waliomuona akicheza waje wakuoe sifa zake.
Mimi sijawahi kumuona George Magere Masatu akicheza, naombeni mnitajie uwezo wake maana yupi hyped sana
Golden boy mfungaji matata wa simba ya dar es salaam ambae alivuja mwiko mkubwa baadae kwa kujiunga na yanga.Miongoni mwa taswira za soka la tz.Zamoyoni mogella
Niletee Clips za Hussein Amani Masha; George Magere Masatu, Beki Mstaarabu Samli Ayoub, Deo Njohore OCD, Golden Boy Zamoyoni Mogella; Said Mwamba Kizota, Ball Juggler Malota Somo.... , Ahmed Amasha.... na Kwa majirani zetu beki mwenye akili kutoka Zambia Marehemu Eston Mulenga.....Wote nimewaona,maclip yamejaa youtube huko
Anatenga penati mara unamsikia Ahmed Jongo,anasemaaa,kachana nyavuuuGaga control za hatari,mashuti haswa,Kuna siku alichana nyavu uhuru,kipaji haswa,mnyumbulifu
Mtoto wa Butembo huyu.SANIFU LAZARO TINGISHA
HAhaha nimemuulizia pia Lunyamila.Sijawahi kuwaona wakicheza 'Lunyamila na Mohamed Husein & Rashid Mandanje -Wote hao nasikia waliwahi kucheza Yanga
Mandonga mtu job.Huyu aliyepigana hapo kwa Uhuru Kenyatta juzi wengine wakasema kapigwa wengine kapiga,
Yeye mwenyewe anasema akishindwa kama kashinda.
Jina limenitoka 🤣🤣