Mtaje mchezaji ambaye hujawahi kumuona akicheza ili wakongwe wakuchambulie sifa zake

Ukiacha ufupi wake kuna wakati aliokoa mipira ya kichwa iliyokuwa inaenda golini.Alisifika kwa uwezo wa kuokoa mipira ile ambayo ilikuwa ikielekea golini kabisa.Huu ulikuwa ni mmoja wa upekee wake.Alichezea pamba ya mwanza mengine wataongeza wadau.
 
Wote nimewaona,maclip yamejaa youtube huko
Niletee Clips za Hussein Amani Masha; George Magere Masatu, Beki Mstaarabu Samli Ayoub, Deo Njohore OCD, Golden Boy Zamoyoni Mogella; Said Mwamba Kizota, Ball Juggler Malota Somo.... , Ahmed Amasha.... na Kwa majirani zetu beki mwenye akili kutoka Zambia Marehemu Eston Mulenga.....
 
Hahaha huyu bwana namsikia sana nikiwa mdogo.

Edibile Lunyamila..sijui kama nimepatia jina.

Wakubwa wetu, sifa zake.
 
Sijawahi kuwaona wakicheza 'Edibily Lunyamila na Mohamed Husein & Rashid Mandanje -Wote hao nasikia waliwahi kucheza Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…