Mtaje msanii yeyote wa Hip Hop anayetokea Zanzibar

Master J kaa chini nikupe skendo,
Karafuu zangu mwenyewe kuzisarifisha naambiwa magendo 🎢 🎡 🎢

Hiyo iweke kwenye rafudhi ya kipemba. Ndio hip hop ya Zanzibar
πŸ€“πŸ€“ nimecheka sana aiseee.
 
Hata wakiimba hip hop ngumu kiasi gani kwa ile rafudhi yao ya kipemba na unguja wanakua kama wanaimba taarabu tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…