binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Kwa Sura hiyoπ
Wa search hadi Dark webπππ
Hata wakupe na simu ugoogle wapi
kumbe!Shirko si Mkena huy? tena kapewa kitengo kwenye idara ya sanaa na Rais wa Kenya
Yaah,kuna interview moja nilimsikia akisema kuwa Zenji alienda kutafuta maisha tu,jamaa katokea Mombasa Kenya,amefanya sana kazi na akina Aslaykumbe!
Zee la kuji-brand?Hamumjui muasisi Saleh Jabir?
π€π€ nimecheka sana aiseee.Master J kaa chini nikupe skendo,
Karafuu zangu mwenyewe kuzisarifisha naambiwa magendo πΆ π΅ πΆ
Hiyo iweke kwenye rafudhi ya kipemba. Ndio hip hop ya Zanzibar
siyo huyo, ni huyuZee la kuji-brand?
Mutoto ya kimjini mjiniπ€£π€£π€£π€£π€£Mauzinde