Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
kwenye list muongeze na STROKE.
nilichogundua ni kwamba hawa watu hufanya makusudi na si kwamba fikra zao zimeshikiliwa na wengine.
Unamchukiaje mtu ambaye hujamuona physically bwana ndo maana siku hizi vijana mnazeeka mapema kwa sababu ya roho zenu mbaya za kukunja.
Humu tunatumia fake IDs je kama mimi unaenichukia ni mjomba'ako au baba yako mdogo,umeshawahi kujiuliza labda kuna wakati huwa unapishana hapa JamiiForums na watu ambao in really life unawaheshimu sana lakini humu wanamwaga pumba?
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Kwanini? anazinguaje anatoa sure slip fake auKuna jamaa la kujiita sungusungu....asee uyu jamaa kavu sana na simkubali kichiz, jamaa linatuvuruga sana kwenye uzi wetu pendwa wa wazee wa mikeka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini? anazinguaje anatoa sure slip fake au
Hahahaha mada nyingine dahNyani Ngabu na li sugar mumy lake
Kwani wewe ndio unawapa kula hao vilaza wezako?Kuna watu wanakera Sana humu ndani.kwa michango Yao tu unaweza ukatamani asingekuwepogi.niwe mkweli tu kuna jamaa anaitwa kanungila Karim huyu jamaa sijui Kwanini damu yake na yangu hazijaendana.ashaniharibia mood yangu mara kibao.siku nikikutana naye live live kitaani nitamchezeshea vitofa mixer vitasa Kama vyote.kwa upande wa ma she Kuna huyu anaitwa miss natafuta simfagilii Wala Nini namchukia na sijui kwanini na m term Kama adui.mwingine ni huyu anajiita viatu vya samaki,wa mwisho kabisa Ni GENTAMICYNE na mwenyewe naonaga miyeyusho tu
Ni mtazamo tu washikaji msijenge chuki.na wewe mtaje mmoja tu au wawili ambao una beef nao.
Duuuu sijaiona hiyo Post Mkuu.broo King Kong III kuna mtu humu juzi alikuulizia, anasema unamtongozea demu wake humu.
Duuuu sijaiona hiyo Post Mkuu.
Poa Poa Chief.Nasachi hapa nikiiona post nakutumia mkuu
Nakuchukia sana hujui tuNasubiri fal.a mmoja anitaje tuanzishe bifu
Nakuchukia sana hujui tu
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk