Mtaji au mshahara?

Mtaji au mshahara?

City Rider

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2022
Posts
402
Reaction score
1,212
Ni kipi bora zaidi kwa kijana jobless kati ya Mtaji wa 5 Million au Mshara wa shilingi 350,000 kila mwezi.

Chagua kwa makini alafu tupe sababu
 
Kama ni kijana ambaye hajawahi kushika pesa yake mwenyewe na kuipangia matumizi yafaa kazi ya mshahara ili apate udhoefu wa kumanage pesa.

Ukimpa mtaji m.5 ataziona nyingi na kuanzia kufanya matumizi nje ya malengo ya kibiashara na kuja kushtuka mtaji umekata. Lakini akiwa na kazi pesa ikikata atasubiri mwisho wa mwezi mwingine na kupata pesa ambapo atakuwa anajifunza pole pole kutokana na makosa ya matumizi aliyofanya mwezi uliopita.

All in all biashara ni best option kwa mtu alie komaa .
 
Je kijana husika ana:
  • Elimu ipi?
  • Ujuzi upi?.
  • Mazingira anayoishi ni yapi?
  • Anapendelea nini?
Majibu ya hayo maswali yatapanua wigo wa kuwa na uchaguzi sahihi, kati ya ajira au mtaji.
achilia mbali hayo yote hapo juu kama huna kazi kabisa unaona nn kita- work out mtaji au mshahara?
 
Kama ni kijana ambaye hajawahi kushika pesa yake mwenyewe na kuipangia matumizi yafaa kazi ya mshahara ili apate udhoefu wa kumanage pesa.

Ukimpa mtaji m.5 ataziona nyingi na kuanzia kufanya matumizi nje ya malengo ya kibiashara na kuja kushtuka mtaji umekata. Lakini akiwa na kazi pesa ikikata atasubiri mwisho wa mwezi mwingine na kupata pesa ambapo atakuwa anajifunza pole pole kutokana na makosa ya matumizi aliyofanya mwezi uliopita.

All in all biashara ni best option kwa mtu alie komaa .
Hili ni jibu sahihi sana, 5 million kwenye biashara na risk kubwa sana lakini mshahara unakufanya upate muda wa kujifunza na kujaribu biashara mara nyingi zaidi

Ukiwa na tamaa huwezi elewa kwanini mshahara ni best option
 
Nilichogundua kama umezaliwa familia zetu hizi njia Tangible ya ku suistain maisha ni ajira then ndio mengine hufuata.

For me, Itategemeana na hiyo ajura ni Serikalini au Private Kama Ni serikalini nachagua mshahara wa 350K ila Kama ni private nachagua 5M mtaji
 
Nilichogundua kama umezaliwa familia zetu hizi njia Tangible ya ku suistain maisha ni ajira then ndio mengine hufuata.

For me, Itategemeana na hiyo ajura ni Serikalini au Private Kama Ni serikalini nachagua mshahara wa 350K ila Kama ni private nachagua 5M mtaji
kuna mtihani hapa kuna kitu inaitwa RISK
 
Back
Top Bottom