Mtaji laki tano

Mtaji laki tano

Tt4tat boy

Member
Joined
Nov 26, 2015
Posts
45
Reaction score
11
Wana janvi kichwa cha habari kinajieleza naombeni ushauri nina pesa hiyo,nipo kijijini nifanye biashara gani jamani, ninakuku hamsini sasa nilikuwa nataka ninunue incubator ili niee nanunua mayai kisha kutotolesha kwa kutumia incubator ya solar. Naombeni mawazo yenu maana hata incubator sijui inauzwa tsh. ngapi .Tafadhali mchango wako nimuhimu sana kwangu , tuache dhihaka .AHSANTENI
 
Back
Top Bottom