Mtaji mdogo huleta udhia

Mtaji mdogo huleta udhia

Mathayo Christopher

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2013
Posts
413
Reaction score
289
June 2021 nilianza kulima nyanya kwa kununua mbegu ya kipato f1 gm 2 kwa 20000/=,linkmil 1.5kg kwa 30000/=.DAP 5kg kwa 10000/=, foliar fertilizer 1kg kwa 5000/=, duduacelemectine 1ltr kwa 20000/=.

CAN 25kg kwa 25000/= vingine kama eneo, kamba na mianzi sikugharamia chochote nikapata output yote ikaisha in search for jobs.

Nikabaki with nothing sasa mwaku huu gharama za vitu zimenikatisha tamaa hasa DAP & CAN zimepanda maradufu
 
June 2021 nilianza kulima nyanya kwa kununua mbegu ya kipato f1 gm 2 kwa 20000/=,linkmil 1.5kg kwa 30000/=.DAP 5kg kwa 10000/=, foliar fertilizer 1kg kwa 5000/=, duduacelemectine 1ltr kwa 20000/=.

CAN 25kg kwa 25000/= vingine kama eneo, kamba na mianzi sikugharamia chochote nikapata output yote ikaisha in search for jobs.

Nikabaki with nothing sasa mwaku huu gharama za vitu zimenikatisha tamaa hasa DAP & CAN zimepanda maradufu

Hayo mahitaji yote ni kwa heka ngapi na inarudisha kiasi gani baada ya mavuno mkuu...?
 
Tuanze na huo wa mwaka Jana out put au net profit ilikua yakuridhisha au ulikula mkenge.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
kama nilivyoweka bayana output iliridhisha mtihani ni mtaji ulikuwa mdogo na nimeshindwa kulima tena baada ya fedha yote kutumia kwenye gharama ya kutafta ajira
 
Back
Top Bottom