Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekan kwa kuinvest mkuuHuwez fanya business yoyote ukiwa mbali na ikaenda vzur, otherwise utapata khasara, tafta mtu mwaminifu mwenye kuweza kusimamia wkat bado Upo chuo, Au usubiri mpka utakapomaliza chuo,
For instance nn labda brother,Inawezekan kwa kuinvest mkuu
Iyo ni biashara ya muda mrefu zaidi ya miaka 10 na kuendeleaAkanunue ekari kadhaa za miti huko iringa...
Viatu vya mtumba tuwasiliane kiroba 150000 pair 50+ vya watoto kina mama na vijanaHabar wakuu, nna mtaji wa mil. 3 nataka fanya biashara nitakayoiendesha nikiwa mbali nayo, coz nko chuo kwa sasa so ntakuwa na muda mchache wa kuisimamia, ni biashara gan itakayoendan na condition hizo wadau, mchango wenu plz.
Umenipa wazo na Mimi nitakutafutaViatu vya mtumba tuwasiliane kiroba 150000 pair 50+ vya watoto kina mama na vijanaView attachment 401247View attachment 401249View attachment 401250
PouwaUmenipa wazo na Mimi nitakutafuta
Mshana naomba kuelimishwa grade na bei za belo za viatu kwa hapa kwetu tz!Pouwa
Ni kati ya 150- 250 hii si kwa ubora bali aina ya viatuMshana naomba kuelimishwa grade na bei za belo za viatu kwa hapa kwetu tz!
Yaani grade ya chini bei yake na ambayo labda ndo ya juu bei yake
AsanteNi kati ya 150- 250 hii si kwa ubora bali aina ya viatu
Vya watotoAsante
Aina ya viatu kwa vipi mkuu
Aaah okay!Vya watoto
Wanawake
Vijana
Au mchanganyiko
Mchanganyiko lakini pia Inategemea na muuzajiAaah okay!
Na kati ya hivo ni kundi lipi ni bei zaid