Mtaji milioni 3, biashara ipi itafaa?

Mtaji milioni 3, biashara ipi itafaa?

Huwez fanya business yoyote ukiwa mbali na ikaenda vzur, otherwise utapata khasara, tafta mtu mwaminifu mwenye kuweza kusimamia wkat bado Upo chuo, Au usubiri mpka utakapomaliza chuo,
Nakuunga mkono bila ya shaka yoyote mkuu ila hapa TZ wengi naona wanafanya sana kwa simu!!
 
Una kodi fremu kwa laki moja unalipia miezi 6 hiyo ni laki 6
Unanunua viroba 3 vya viatu kwa kuanzia hiyo ni laki 450
Unatumia laki 2 Kwa modification ya fremu usafiri nk
Kwahiyo jumla unakuwa umetumia 1,250,000/=
Unapofungua kiroba fanya hivi
Unachagua pair kumi bora Moja elfu kumi hapo una laki moja
Unachagua kumi nyingine Moja elfu 7 hapo una elfu sabini tayari
Unachagua kumi nyingine unauza Moja elfu 5 hiyo ni elfu hamsini tayari
Zilizobaki 20 unauza kwa Moja elfu 3 hiyo ni elfu 60
Kwahiyo kwa makisio ya chini kabisa unakuwa umeuza kiloba kwa 280000
Faida hapo inaonyesha 130000 swali linakuja itachukua muda gani kuuza mzigo wote kuisha na ili kufidia na kujua ghalama za chakura na nauri wakati Wa muda Wa kuuza kwa makadilio na eneo gani zuri la kuweza kukamata siko vizurj?
 
Faida hapo inaonyesha 130000 swali linakuja itachukua muda gani kuuza mzigo wote kuisha na ili kufidia na kujua ghalama za chakura na nauri wakati Wa muda Wa kuuza kwa makadilio na eneo gani zuri la kuweza kukamata siko vizurj?
Mara nyingi ni wiki moja inabidi kuwa na kijana mwaminifu na anayejua biashara maeneo ya watu wengi ndio mazuri..ukitoa gharama zote hukosi laki
 
Back
Top Bottom