Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Viatu vya mtumba tuwasiliane kiroba 150000 pair 50+ vya watoto kina mama na vijanaView attachment 401247View attachment 401249View attachment 401250
Mkuu naomba bei ya grade 1 kwa belo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viatu vya mtumba tuwasiliane kiroba 150000 pair 50+ vya watoto kina mama na vijanaView attachment 401247View attachment 401249View attachment 401250
Hivi vilivyopo ndio hivyo havijapangwa kwa gradeMkuu naomba bei ya grade 1 kwa belo
Nakuunga mkono bila ya shaka yoyote mkuu ila hapa TZ wengi naona wanafanya sana kwa simu!!Huwez fanya business yoyote ukiwa mbali na ikaenda vzur, otherwise utapata khasara, tafta mtu mwaminifu mwenye kuweza kusimamia wkat bado Upo chuo, Au usubiri mpka utakapomaliza chuo,
Njoo pmMshana jr,mawasiliano yako tafadhar
Ufugaji nyuki...miti ya mbao no need much careFor instance nn labda brother,
Tuwekee kwa faida ya tuliopo Dar mkuu.Ungekuwa dar ningekuelekeza biashara faida tungegawana na mchanganuo wake sio kwa kuandika ni kwa vitendo pakununulia mpaka pakuuza
Faida hapo inaonyesha 130000 swali linakuja itachukua muda gani kuuza mzigo wote kuisha na ili kufidia na kujua ghalama za chakura na nauri wakati Wa muda Wa kuuza kwa makadilio na eneo gani zuri la kuweza kukamata siko vizurj?Una kodi fremu kwa laki moja unalipia miezi 6 hiyo ni laki 6
Unanunua viroba 3 vya viatu kwa kuanzia hiyo ni laki 450
Unatumia laki 2 Kwa modification ya fremu usafiri nk
Kwahiyo jumla unakuwa umetumia 1,250,000/=
Unapofungua kiroba fanya hivi
Unachagua pair kumi bora Moja elfu kumi hapo una laki moja
Unachagua kumi nyingine Moja elfu 7 hapo una elfu sabini tayari
Unachagua kumi nyingine unauza Moja elfu 5 hiyo ni elfu hamsini tayari
Zilizobaki 20 unauza kwa Moja elfu 3 hiyo ni elfu 60
Kwahiyo kwa makisio ya chini kabisa unakuwa umeuza kiloba kwa 280000
Mara nyingi ni wiki moja inabidi kuwa na kijana mwaminifu na anayejua biashara maeneo ya watu wengi ndio mazuri..ukitoa gharama zote hukosi lakiFaida hapo inaonyesha 130000 swali linakuja itachukua muda gani kuuza mzigo wote kuisha na ili kufidia na kujua ghalama za chakura na nauri wakati Wa muda Wa kuuza kwa makadilio na eneo gani zuri la kuweza kukamata siko vizurj?
Namba yako tafadhali nataka kuanza hyo buznesViatu vya mtumba tuwasiliane kiroba 150000 pair 50+ vya watoto kina mama na vijanaView attachment 401247View attachment 401249View attachment 401250
Iko pm kitamboNamba yako tafadhali nataka kuanza hyo buznes
KaribuHuu Uzi umenipa kitu ngoja nimvutie waya mshana nijikwamue kiuchumi
Hakika umenifumbua macho ngoj niku PM for more infoMara nyingi ni wiki moja inabidi kuwa na kijana mwaminifu na anayejua biashara maeneo ya watu wengi ndio mazuri..ukitoa gharama zote hukosi laki
Hivi wewe hallelujah moshi ndio nakusikiaga BBC na DW?Asante sana boss
I hope wewe hautumii uchawi!
tudokezeUngekuwa dar ningekuelekeza biashara faida tungegawana na mchanganuo wake sio kwa kuandika ni kwa vitendo pakununulia mpaka pakuuza
Tulia mkuuHivi wewe hallelujah moshi ndio nakusikiaga BBC na DW?
[emoji817]
Acha uongo