ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Hii mada nairudia tena kwa mara nyingine, mtaji ninao wa zaidi ya million saba tatizo kazini natoka Kuanzia saa 9 na nusu usafiri ninao pikipiki. Job kila siku Monday to Friday na pia ni mtu wa site mara kwa mara haipiti mwezi lazima kuna siku tano mpaka 10 niwe safari.
Je biashara gani ambayo bidhaa zake haziharibiki na vile vile ukiwa haupo haithariki yaani hupotezi wateja kila siku wateja wapya wanapita..
NB: Sitaki kumuweka mtu nataka iwe ya kuisimamia mimi...nilikuwa nawaza labda niwe na kibanda cha asali barabarani niongezee na idea nyingine nzuri.
Je biashara gani ambayo bidhaa zake haziharibiki na vile vile ukiwa haupo haithariki yaani hupotezi wateja kila siku wateja wapya wanapita..
NB: Sitaki kumuweka mtu nataka iwe ya kuisimamia mimi...nilikuwa nawaza labda niwe na kibanda cha asali barabarani niongezee na idea nyingine nzuri.