Ni kweli kabisa, Ila ishu ni kwamba si kweli kabia kwamba unaweza kuruni biashara bila mtaji kwa sababu hata servise business ambzo inasemekana unaweza anza bila mtaji still lazima uwe na hata Tsh 500 ya kununua kalamu au karatasi na kazalika,
So ishu ni kwamba Kama Mjasiriamali unatakiwa kuumiza kichwa jinsi ya ku grow, huwezi ukajiita Mjasirimali halafu ukaanza kulia kwamba huna mtaji,The real Entreprener hasubirii mapka serikali ilete miradi ya Ujasirimali ndo aanze,
Ni kweli Iadea ni Primary capital na kutokea hapo ndo unaweza wewe kama wewe kuumiza kichwa jinsi ya kuweza kusonga mbele na wazo lako, watu wasiishie kusema wana mawazo ya Biashara ni lazima Uonyeshe bidii katika wazo, Wazo kama wazo si ishu kabisa na watu hawawezi kukuona mjanja kisa un wazo bali utapimwa kwa jitihada zako,
Hivyo Basi, swala la Mitaji ni juhudu za Mtu bianafisi, nazani ukisoma story za watu wali fanikiwa, kuna story zinazungumzia walivyo grow up, so ni wewe kama mjasiriamali kuhangaika kwa kila njia ya kupata pesa za kuanza projet yako
Kwa Bongo Tunatatizo kubwa sana katika hilo, Mtaji umegeuzwa kuwa Ngao ya Kuharalisha mtu kuto kujiajiri, kila utakaye muuliza ni mtaji,
Ukiwa na Spirit ya Ujasiriamali utaona kwamba mtaji si ishu kabisa, Bali kinacho takiwa ni Jitihada binafisi, unaweza kuta mtu ni mfanya kazi naanalipwa freshi tu ila swala la Kujiajiri atakuambia hana pesa, ishu ambayo sio kweli,
SO KWA WAFANYA BIASHARA MTAJI KWELI NI TATIZO KUBWA SANA, ILA KWA MJASIRIAMALI MTAJI SI TATIZO,