Kinulwa.Mwankala
Member
- Jan 12, 2015
- 55
- 19
More details pleasefungua genge utatoka uwe mbunifu
Kama uko morogoro au dar,nenda morogoro huko kilosa uwe unanunua madini yanaitwa feldspar uwe unakuja kuyauza dar.
Unanunulia kilo moja 2000 au 2500,dar yanatoka kuanzia 6000 hadi 10000. Soko lake ni la uhakika ukiyafikisha dar. Unaweza kuanza na kilo chache kama 10 au 15 kuangalia soko. Inalipa na hiyo pesa yako kwa biashara hiyo ni kubwa sana.
Pia unaweza kua unanunua mbuzi huko minadani unakuja kuwauza dar, mbuzi mmoja wa bei ya chini kabisa dar ni elfu 60 ambae unaweza kumnunua 20 au 25 ukijumlisha na usafiri hadi dar ni 35.
Uhakika wa soko la mbuzi dar ni wa kuaminika,ukifika hata na mbuzi 200 unawauza wote muda huo huo.
Kwa mtaji wako unaweza kuanza na mbuzi 25.
Nadhani unaweza kufikiria hvyo kama utakua una nia ya kufanya biashara.
Kama uko morogoro au dar,nenda morogoro huko kilosa uwe unanunua madini yanaitwa feldspar uwe unakuja kuyauza dar.
Unanunulia kilo moja 2000 au 2500,dar yanatoka kuanzia 6000 hadi 10000. Soko lake ni la uhakika ukiyafikisha dar. Unaweza kuanza na kilo chache kama 10 au 15 kuangalia soko. Inalipa na hiyo pesa yako kwa biashara hiyo ni kubwa sana.
Pia unaweza kua unanunua mbuzi huko minadani unakuja kuwauza dar, mbuzi mmoja wa bei ya chini kabisa dar ni elfu 60 ambae unaweza kumnunua 20 au 25 ukijumlisha na usafiri hadi dar ni 35.
Uhakika wa soko la mbuzi dar ni wa kuaminika,ukifika hata na mbuzi 200 unawauza wote muda huo huo.
Kwa mtaji wako unaweza kuanza na mbuzi 25.
Nadhani unaweza kufikiria hvyo kama utakua una nia ya kufanya biashara.
tafuta mtu anaefuataga bidhaa china mpe akanunue smart phone kwa bei rahisi then uje uziuze mavyuoni ili mtaji uwe mkubw
Kama solo nilauhakika kwann abebe kiasi kidogo hivyo?..
Mkuu kwa dar haya madini huuzwa wapi?
Namie napenda kufahamu
Kama solo nilauhakika kwann abebe kiasi kidogo hivyo?..