Mtaji TZS 1 Million, naombeni ideas za biashara

tafuta mtu anaefuataga bidhaa china mpe akanunue smart phone kwa bei rahisi then uje uziuze mavyuoni ili mtaji uwe mkubw

Huyo wa kumwamini na kumwachia pesa asafiri nayo ni mtanzania au ni mchina? Kama ni mtanzania asijaribu hii nchi imeharibika sana watu si waaminifu hata kidogo,hata ndugu anaweza kukutapeli. Ajaribu kufanya kitu ambacho yeye mwenyewe pia atakuwa involved moja kwa moja
 


kweli lakini...
 
Last edited by a moderator:
Nimehamasika na hayo madini..vipi upatikanaji wake.
Niyakwenda kukusanya kidogokidogo au inakiwaje,.ufafanuzi tafadhali
 
hiyo ya madini ya felspar imekaa vizuri sana ndugu...
 

kwenye biashara ya mbuzi hapo sikushauri hakuna mbuz anayeuzwa elfu 25000 na usafirhadi dar...mfan moro bei ya chin minadani tena kwa wamasai tsh 45000..
 
Jiunge na fursa kutoka forever living, utaweza kutumia Tsh 910,000 tuu kama mtaji wa kuanzia na ukijituma vizuri utatengeneza mpaka zaidi Milion 3 kwa mwezi.
Kwa maelezo zaidi pm au piga 0719972458

Nina ndugu zangu wawili wa karibu Sana wanafanya hii issue. Wapo very busy and committed na forever living. Nasubiri nione mafanikio yao ndo nitaamini network marketing. Kila la kheri kwa forever living members wote.
 
Mchokoza mada hapa utapata msaada maana unachoita mtaji kwa wengine ni pesa yao ya kutumia week end. Nachoweza kukushauri fanya biashara ya umachinga hata ukianza na cover za simu
 
Utamu wa ngoma uingie ucheze usisubiri kuhadithiwa!!!

Kwa usawa huu..laki 9 uingize kwenye biashara usiyokuwa na uhakika nayo? nasubiri kwanza Nione mafanikio ya hawa ndugu zangu coz wameamua haswa kuifanya, pia nipate elimu kutoka kwao nielewe vizuri...hapo ndio nawefa Fanya maamuzi. Kwasasa hapana kabisa...mambo ya kukimbizana na cc (wenyewe wanaelewa) cjui nini..mi cyawezi bado. Hiyo laki 9 ni kianzio tu...ili ufanikiwe inabidi uwe na zaidi ya hiyo.
 
Jiunge na fursa kutoka forever living, utaweza kutumia Tsh 910,000 tuu kama mtaji wa kuanzia na ukijituma vizuri utatengeneza mpaka zaidi Milion 3 kwa mwezi.
Kwa maelezo zaidi pm au piga 0719972458

USIJARIBU HAPA!!! Tafuta biashara nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…