MWENDAKULIMA
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 951
- 355
tafuta mtu anaefuataga bidhaa china mpe akanunue smart phone kwa bei rahisi then uje uziuze mavyuoni ili mtaji uwe mkubw
Huyo wa kumwamini na kumwachia pesa asafiri nayo ni mtanzania au ni mchina? Kama ni mtanzania asijaribu hii nchi imeharibika sana watu si waaminifu hata kidogo,hata ndugu anaweza kukutapeli. Ajaribu kufanya kitu ambacho yeye mwenyewe pia atakuwa involved moja kwa moja