Mtaji TZS 1 Million, naombeni ideas za biashara


Cjawa negative babaa..nimesema nataka kuielewa vizuri kwanza ndio nipo kwenye mchakato wa kuielewa coz network marketing si sawa km biashara nyingine so cwezi kuingia kichwa kichwa. Cna tatizo na biashara yoyote mtu aifanyayo ili mradi anaielewa na inamletea faida.
 
kwenye biashara ya mbuzi hapo sikushauri hakuna mbuz anayeuzwa elfu 25000 na usafirhadi dar...mfan moro bei ya chin minadani tena kwa wamasai tsh 45000..

huko bei sana mimi nipo Tabora mbuzi bei kuanzia Tsh 20000 wale wa elfu 60000 ni yale mabeberu wakubwa kabisa ukiliona kama ndama.
ila sijajua gharama za usafiri
 

Habari wakuu, binafsi nimependa iyo ya madini nataka nijaribu, msaada kwa yeyote ambae anafanya hii biashara kuhusu soko lipoje na upatikanaji wa hayo madini huko yanakochimbwa upoje? Ni mpaka yakusanywe au huwa inakuaje????

Nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…