Mtaji Wa 10,000,000.

Mtaji Wa 10,000,000.

Dodo18

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2011
Posts
315
Reaction score
93
Tuna chumba nyumbani sinza mori, nianzishe biashara gani? Shud i invest it all on M-pesa na Tigo pesa au?
 
Inategemea na mahali ulipo ila una fursa nyingi tu kama: Kuweka M-pesa, TigoPesa, tafuta kifaa cha maxmalipo kwa ajili ya luku n.k. Pia waweza kuuza na vinywaji/kuweka vitu vya dukani.
 
Niko sinza mori maeneo ya bigbon.. Mimi ninavyolewa kuhusu biashara ya tigo pesa na mpesa ni kwambia uwe pahali ambapo kuna mzunguko wa watu, sehemu iliyopo busy na sinza mori imekua sehemu ya biashara siku hizi, lakini nategemea patazidi kubalika sana zaidi lile jengo la bigbon likiisha ndio kutakua na mzunguko wa watu wengi hapo ndipo nime target
 
Back
Top Bottom