Mtaji wa 10 Millions Tshs

Mtaji wa 10 Millions Tshs

Pamoja na hayo mkuu.
sasa watu wote wakizalisha ni nani atakua mnunuaji.?.Ukizingatia soko la Africa lilivyo bovu.

Mtanzania hawezi kuzalisha mali na kupata wanunuaji ili hali bado Mali nyingi zinatokea nje ya nchi. Hivyo kwa tanzania kufanya kitu kama hiko ni lazima Serikali pia ifanye mageuzi ya sera ya Uwekezaji humu nchini.
Kitendawili cha kuku na yai kipi kilianza. Utaishawishije serikali kubadili sera kama hakuna kinachozalishwa nchini? Afrika haina uhaba/ubovu wa masoko bali ina uhaba wa mindombinu na ubunifu wa kuyafikia au kuyafungua masoko hayo. Daraja la kati (middle class) linakuwa katika nchi karibu zote za Afrika. Wajanja wa nje wanaiona hiyo fursa na kuitumia. Sisi wenyewe ndiyo tumalala.

Felix Maganjira upo? Ebu leta somo hapa.
 
Kama ni duka la vifaa vya ujenzi unawza ukaanza poleole mfano ukanunua baadhi tu ya vifaa fulani kama cement na nondo pekee au tile whatever. Then vikishauzika una add ile profit kwenye mtaji unarudisha kwenye circulation ila inabidi uwe mvumilivu mwenye moyo wa kubana pesa maada ya miezi michache unaweza kukuta duka lako lipo full kabisa. Pia kuhusu bi a pango nenda katafute mahala ambapo nyumba na makazi ya watu yanajegwa jengwa hapo unapata assuance ya wateja na vilevile bei ya frame inakuwa chini kidogo ukilingaisha na mjini. Haya ni mawazo yangu tu.
 
We asprin unazingua unatoa majibu ya kitu usichokijua , tatizo watu mkiambiwa hardware akili inawatuma kwa maduka makubwa kama nabaki afrika n.k hapa unachotakiwa kuelewa ni kwamba kila kitu kikubwa
kina kidogo chake ambacho baadae kitakuwa kikubwa pia"
 
Kama ni duka la vifaa vya ujenzi unawza ukaanza poleole mfano ukanunua baadhi tu ya vifaa fulani kama cement na nondo pekee au tile whatever. Then vikishauzika una add ile profit kwenye mtaji unarudisha kwenye circulation ila inabidi uwe mvumilivu mwenye moyo wa kubana pesa maada ya miezi michache unaweza kukuta duka lako lipo full kabisa. Pia kuhusu bi a pango nenda katafute mahala ambapo nyumba na makazi ya watu yanajegwa jengwa hapo unapata assuance ya wateja na vilevile bei ya frame inakuwa chini kidogo ukilingaisha na mjini. Haya ni mawazo yangu tu.

Mkuu kwa 1M naweza anza na cement tu? bei ya jumla kwa mfuko ni tsh ngapi?
 
Back
Top Bottom