peri
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,579
- 1,164
Habari za muda wadau?
Nina rafiki yangu ni muajiriwa serekalini.
Kapewa 10m na babake ili ajiimarishe kiuchumi.
Hajajua mpaka sasa afanye nini kwani kapewa kwa masharti kuwa afanyi biashara au chochote cha kuzalisha ila asije akaingiza kwenye mambo matumizi mengine kama pombe, wanawake nk.
Kaniomba ushauri kwani hajajua mpaka sasa afanyaje ukizingatia muda wake ni mdogo kwani anabanwa kazini na anajiendeleza kielimu na hana uzoefu wowote na biashara.
Nimefikiria kumshauri anunue gari ndogo ya biashara kama suzuki carry au hata bajaji kitu amabcho naona hakihitaji usimamizi mkubwa na kina hesabu inayo eleweka. Nimeona sio vibaya kuwashirikisha wadau wengine kwa mawazo zaidi.
Karibuni kwa michango.
Nina rafiki yangu ni muajiriwa serekalini.
Kapewa 10m na babake ili ajiimarishe kiuchumi.
Hajajua mpaka sasa afanye nini kwani kapewa kwa masharti kuwa afanyi biashara au chochote cha kuzalisha ila asije akaingiza kwenye mambo matumizi mengine kama pombe, wanawake nk.
Kaniomba ushauri kwani hajajua mpaka sasa afanyaje ukizingatia muda wake ni mdogo kwani anabanwa kazini na anajiendeleza kielimu na hana uzoefu wowote na biashara.
Nimefikiria kumshauri anunue gari ndogo ya biashara kama suzuki carry au hata bajaji kitu amabcho naona hakihitaji usimamizi mkubwa na kina hesabu inayo eleweka. Nimeona sio vibaya kuwashirikisha wadau wengine kwa mawazo zaidi.
Karibuni kwa michango.