teku Member Joined Aug 13, 2013 Posts 28 Reaction score 4 Nov 9, 2013 #1 Habari zenu wana JF. Nina mtaji wa 2m nipo dodoma mjini. Je ni biashara gani inalipa dodoma. Mimi ni mgeni katika mji huu ndo nimefika mwezi huu nimepangiwq kazi huku kama mtumishi wa umma. Naombeni mwongozo wenu katika hili. Mungu awabariki.
Habari zenu wana JF. Nina mtaji wa 2m nipo dodoma mjini. Je ni biashara gani inalipa dodoma. Mimi ni mgeni katika mji huu ndo nimefika mwezi huu nimepangiwq kazi huku kama mtumishi wa umma. Naombeni mwongozo wenu katika hili. Mungu awabariki.