Mtaji wa 2m dodoma mjini

teku

Member
Joined
Aug 13, 2013
Posts
28
Reaction score
4
Habari zenu wana JF.
Nina mtaji wa 2m nipo dodoma mjini. Je ni biashara gani inalipa dodoma.
Mimi ni mgeni katika mji huu ndo nimefika mwezi huu nimepangiwq kazi huku kama mtumishi wa umma.
Naombeni mwongozo wenu katika hili.
Mungu awabariki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…