Mtaji wa 4.5m unatosha kuanzisha sehemu ya kuchezesha playstation games?

Mtaji wa 4.5m unatosha kuanzisha sehemu ya kuchezesha playstation games?

Inatosha, ila ingia cost za kununua pad OG maana ukinunua zile copy ni miezi miwili tu zitaanza kuleta shida, blow machine ikiwezekana kila wiki vumbi ni hatari sana.

Inategemea ume target class gani ya watu ila ukiweza ingia cost kuweka set up nzuri ya viti itakaa poa zaidi.

Kuwe na hewa ya kutosha na pia space kati ya set up ya tv moja na nyingine iwepo pia kuwapa comfort wateja.

Usiweke tv kubwa sana kama una space ndogo.

Yote haya ni kwa experience nilopata kuifanya hii bahati mbaya nili ibiwa kila kitu nika achana nayo.
Ps4 Slim na Ps4Pro dukani Kwa Sasa zinauzwa Bei Gani?
 
Go for hizi used usi chukue mpya, slim nimetumia mbili so far na zote zilisha kufa pro hazina maana maana ni mpaka uwe na ubora wa tv ndo utaona tofauti yake.

Chukua ps4 fat used ila angalia condition yake na zi test mwenyewe. So far najua 400-500 unapata uki negotiate vizuri maana najua utanunua na cd pamoja na pad so cheza karata zako vizuri ili wakupe punguzo.
Kaka kuna mahali nime kwama kwenye hiyo bisness kama hutojali naomba mawasiliano yako naweza pata kitu zaidi natanguliza shukurani
 
unatosha, tafuta machine used kwa ps4 sidhan kama inaweza zidi laki 4-5 (it depends) kwa ps 3 mpaka laki 3 sasa unapata, zingatia location padi nzuri na confort kwa wateja. namna ya uchezwaji inategemea na location huku tunalipa 2000 per hour kwa ps4 na buku per hour kwa ps3
target population yoyote watoto na watu wazima.

zingatia usalama wa mali zako wizi upo
 
Back
Top Bottom