Diwani
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,680
- 2,779
Wakuu wa jamvi, kwanza poleni na msiba. [emoji120]
Naomba kutoka kwenu kujua gharama za mtaji wa mashine ya kusaga na kukoboa nafaka kama mahindi, mchele n.k.
Napendekeza pia kushirikishwa uzoefu kuhusu biashara hii.
Natanguliza shukurani [emoji120]
Naomba kutoka kwenu kujua gharama za mtaji wa mashine ya kusaga na kukoboa nafaka kama mahindi, mchele n.k.
Napendekeza pia kushirikishwa uzoefu kuhusu biashara hii.
Natanguliza shukurani [emoji120]