mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Ukishafunga hizo mashine na kuandaa jengo ndio basi unaanza kazi au kuna mambo ya vibali vinavyolipiwa?
Na je ukishaanza kuzalisha soko la kuuza hizo bidhaa likoje?soko linapatikanaje?
Na je ukishaanza kuzalisha soko la kuuza hizo bidhaa likoje?soko linapatikanaje?
Mimi nimetumia milion 12 gharama zimefikia huko sababu nimerekebisha na jengo