Mm nimegraduate mwaka huu nikapata pa kujishikiza,nimesave kile chochote nilichokua napata hadi nimefikia m1! Sasa nataka huu mwaka mpya nianze biashara! Nimewaza swala la pikpk naona zipo nyingi alafu zinahitaji usimamizi mkubwa!nisaidieni wazo la kibiashara wakuu!
Zunguka bar zote hapo town,club zote Villar,fussio,kiss na beach zote malaika na tunza utapata idea ya nn ufanye baada ya kuizungusha akil yako na kutumia hyo pesa kttk maeneo hayo
Nenda kijijini kwenu ukanunue shamba uanze kulima nalo ni wao
anza biashara ya kubadilisha hela japo mtaji ni mdogo ukitulia utapata faida nzuri
anza biashara ya mitumba japo mtaji kidogo utatosha kama wewe ni bahili
kanunue mchele uvizie pindi ukipanda uuze nalo ni wazo
fungua bar huko kijijini kwenu unaweza kutokamo
kahonge kwa watu binafsi ili upate kazi itakayokuwezesha kukabiliana na hali ya maisha na ukipata unafanya kwa muda huku ukijipanga kuongeza elimu yako na mambo mengine kwa wakati huu usibague kazi japo hupendi kuajiliwa
Zunguka bar zote hapo town,club zote Villar,fussio,kiss na beach zote malaika na tunza utapata idea ya nn ufanye baada ya kuizungusha akil yako na kutumia hyo pesa kttk maeneo hayo