Mtaji wa milioni moja, naomba wazo la biashara

Mtaji wa milioni moja, naomba wazo la biashara

Tafuta eneo eneo tupu unaweza kulipia kwa makubaliano na mwenye eneo anzisha kutoa huduma ya kuosha magari na pikipiki hapa huitaji fremu Wala leseni unaitaji water pressure ambayo ipo ndogo na pipa zile kubwa za pembe nne

Kama upo tayari unaweza kwenda mkowani kununuwa mazao vijijini Kisha ukaenda kuuza mjini mf unanunuwa mpunga mbeya vijijini unaenda kuuza mbeya mjini
 
 
Biashara zote unazizifikiria zitakukata haraka sana. Chukua laki mbili ama tstu chongesha kabati ya alminium ile ya vioo, chukua laki moja nenda sokoni kanunua mchanganyiko wa matunda nanasi, tango, embe, ndizi uthen nunua na disposable pan ama zile bakuri za karatasi ama plastic nunua na nylon foil njoo ukate matunda utafute kijiwe kizuri uanze kuuza salad ya matunda. Utakuwa umetumia si zaidi ya laki 5. Inayobakia mfungulie mzazi mwenzaki kimgahawa kidogo mtaan na ukitaka kutusua mapema ondoka home kama bado kapange chumba na huyo mschana, nakuahidi hautojuta ushauri wanfu.
 
Kwanza wewe unafikiria nini ? Na maeneo unayokaa kuna matatizo/changamoto ya kitu gani ? Ukigundua hilo hapo utaona Fursa alafu wekeza 700k hiyo 300k weka mahali kama akiba mkuu.
 
Wakati unajifikiria Cha kufanya nunua mafenesi Kumi, vikopo transparent vya juice tengeneza kameza kaweke matairi.... Tafuta stend ya basi iliyochangamka, Biashara unaanza saa Tisa mpaka 12...
Unakata mafenesi, unawawekea kwenye vikopo.
Wiki moja tu....
Mtaji haufiki hata nusu ya hela yako.
 
Mkuu fanya biashara ya nguo za mtumba za kike anza na laki moja tu inatosha kabisa kama una jicho la nguo,dili na nguo za kike tu maana wajuba ni ngumu sana kununua nguo ila wanahonga hatari,sehemu za kuuzia ni social network,vyuoni,maofisini n.k
Usisahau na wewe kupendeza wakati unauza hizo nguo
 
Tafuta eneo eneo tupu unaweza kulipia kwa makubaliano na mwenye eneo anzisha kutoa huduma ya kuosha magari na pikipiki hapa huitaji fremu Wala leseni unaitaji water pressure ambayo ipo ndogo na pipa zile kubwa za pembe nne

Kama upo tayari unaweza kwenda mkowani kununuwa mazao vijijini Kisha ukaenda kuuza mjini mf unanunuwa mpunga mbeya vijijini unaenda kuuza mbeya mjini
Hii idea ya kuuza mpunga naona imenivutia zaidi. Asante kaka
 
Biashara zote unazizifikiria zitakukata haraka sana. Chukua laki mbili ama tstu chongesha kabati ya alminium ile ya vioo, chukua laki moja nenda sokoni kanunua mchanganyiko wa matunda nanasi, tango, embe, ndizi uthen nunua na disposable pan ama zile bakuri za karatasi ama plastic nunua na nylon foil njoo ukate matunda utafute kijiwe kizuri uanze kuuza salad ya matunda. Utakuwa umetumia si zaidi ya laki 5. Inayobakia mfungulie mzazi mwenzaki kimgahawa kidogo mtaan na ukitaka kutusua mapema ondoka home kama bado kapange chumba na huyo mschana, nakuahidi hautojuta ushauri wanfu.
Asante sana kwa ushauri kaka
 
zipo biashara ambazo haziumizi hata kichwa wala hazitaki mtaji mkubwa.... nakupa hii moja kwanza....
Nenda sokoni kwenye watu wengi hasa wanawake utafute sehem barabarani hata ya kulipia lakini sio frem yaani mbele ya frem hapo unatakiwa utafute meza moja inagharimu laki 1 halafu nenda kanunue kuku wa kisasa wachinjwe kabisa halafu wewe uwe unakata vipande paja kidali na vengine uwe unawauzia kinamama wao wanaenda kupika nyumbani kwao... kama utauza kuku 5 tu tayari una 10000 kama faida.... unaweza ukaongeza na samaki wabichi pia.... pesa iliyobakia jipange ufungue sehem ya kuuza chips mdogo mdogo... mawazo yapo mengi ila nimeona hilo linakuafaa sana
 
Tafuta eneo eneo tupu unaweza kulipia kwa makubaliano na mwenye eneo anzisha kutoa huduma ya kuosha magari na pikipiki hapa huitaji fremu Wala leseni unaitaji water pressure ambayo ipo ndogo na pipa zile kubwa za pembe nne

Kama upo tayari unaweza kwenda mkowani kununuwa mazao vijijini Kisha ukaenda kuuza mjini mf unanunuwa mpunga mbeya vijijini unaenda kuuza mbeya mjini
Wewe ni mjasiriamali nimependa wazo lako.
 
Back
Top Bottom