golden pride
JF-Expert Member
- Oct 24, 2014
- 847
- 435
Wakuu habari zenu,
Mi ni muajiriwa wa kampuni binafsi.Nataka niache kazi nijikite kwenye biashara, ila mtaji wangu ni milioni saba.Naomba ushauri wenu, ni biashara gani naweza kufanya, na mchanganuo wake upoje.
Nawasilisha
Mi ni muajiriwa wa kampuni binafsi.Nataka niache kazi nijikite kwenye biashara, ila mtaji wangu ni milioni saba.Naomba ushauri wenu, ni biashara gani naweza kufanya, na mchanganuo wake upoje.
Nawasilisha