kwa upande wangu sitakushauri biashara gani ila ni vema uzingatie haya kwa uchache:
MOJA ni vema ujiulize binafsi kuwa hiyo pesa umeipta kwa njia gani eidah kwa kudunduliza kutoka katika biashara ndogondogo ndipo ukapata, je kwa msaada wa ndugu au mikopo? au bahati nasibu?? au mirathi??? m
swali hili ni la msingi sana kabla hujaitumia pesa yako. maana kuna biashara zenye mrejesho baada ya kitambo kirefu na zenye muda mfupi.
MBILI katika mawazo yote uliyopewa na utaklayopewa kuwa makini katika kuutumia mtaji wako, wataalam wa masuala ya biashara hushauri kuto tumia pesa yote uliyonayo ktk kuanzisha biashara maana ikianguka ndipo na ww anguko lako litakuwepo.
TATU ni lazima ujichunguze ww kuwa una interest na biashara na je biashara gani??? maana kama unfanya biashara eti kwa kuwa una mtaji tuu imekula kwako. na kama unafanya biashara fulani eti umeambiwa ina faida nzuri nawe ukafanya hivyo bila reseach ya ulipo kuwajua ni aina gani ya soko na wateja wanaokuzunguka basi utaptea.
kwa uchache tuuuu,