macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Aisee hiyo formula ya risk assesment imenichekesha sana. Na kweli kwenye biashara ndivyo walivyo wasomi wengi. Akiweka formula kama hiyo uliyoandika kwenye calculator anajikuta anaogopa kila biashara.Kwa mawazo haya mkuu, utatafuta mchawi wa maendeleo yako kumbe ni wewe!!!! Ndio maana wengi waliofanikiwa ktk ujasiriamali ni wale hata shule hawakwenda/hawakufika mbali, wao risk sio inshu, lakini nyie ma prof. Utachukua calculator fomula nyingi, risk assessment,*fire/floods=project not viable