Mtaji wangu wa Mil 2.5 je ni BIASHARA ipi naweza anza nayo? (NIPO Mwanza)

Mtaji wangu wa Mil 2.5 je ni BIASHARA ipi naweza anza nayo? (NIPO Mwanza)

0909Hekima

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2013
Posts
226
Reaction score
65
Wana JF wenzangu, muhali gani? Muwazima? Ama baada ya salamu ningependa kuwasilisha jambo na pia kuomba ushauri wenu wa mawazo ili tu nami niwe mwenye kufunzika na kunufaika, mimi nipo Mwanza, Malimbe na pia nina mtaji wa mil. 2 na nusu, ningeomba mchango wenu juu ya idea gani ya biashara yenye kufaa na kuendana na eneo nililopo kwani ni jambo ambalo limekuwa likinisumbua sana bila ya kupata suluhisho, tafadhali naomba mchango wako wa mawazo, asanteni sana.
 
Langua samaki sato peleka tabora au dodoma utauza na faida utapata.
 
Hapa inategemea na wewe una idea gani maana tunaweza kutoka povu kutoa ushauri lakini mwisho wa siku kuna kitu unafikili tupe unachofikili kwanza wewe
 
Wewe mwanafunzi wa saut hiyo hela ya bum itapotea maliza kwanza chuo
 
Langua samaki sato peleka tabora au dodoma utauza na faida utapata.
mkuu unataka jamaa apoteze hiyo 2.5!!!biashara hiyo inahitaji maandalizi si ya kukurupuka utaozesha samaki ubaki unalia!!!
 
Kama mtu hawezi kuumiza kichwa chake kutafuta wazo la biashara, basi hata kutafuta soko utarudi humu kuuliza sasa niuzeje,
Biashara si ishu ya kitoto hata kidogo, unahitaji some time kuonekana kama mwenda wazimu. Na safari ya kufanikiwa au kutokufanikiwa kwenye ujasiriamali wako huanzia kwenye wazo, ni wazo pekee ndo litadetermine safari yako, so huhitaji kufanya mzaha kabisa na idea
Na the best business idea ni ile unayo tengeneza wewe mwenyewe, kwa kuangalia wakato uliopo na ujao, mazingira na kazalika
 
Hapa inategemea na wewe una idea gani maana tunaweza kutoka povu kutoa ushauri lakini mwisho wa siku kuna kitu unafikili tupe unachofikili kwanza wewe

Kaka Kapistrano, nimetanabaisha hapo juu kuwa sina idea ndio maana naomba ushauri wenu, utakacho niambia kitanisaidia sana na nitakifanyia kazi kama kitakuwa ndani ya uwezo wangu.
 
Kama mtu hawezi kuumiza kichwa chake kutafuta wazo la biashara, basi hata kutafuta soko utarudi humu kuuliza sasa niuzeje,
Biashara si ishu ya kitoto hata kidogo, unahitaji some time kuonekana kama mwenda wazimu. Na safari ya kufanikiwa au kutokufanikiwa kwenye ujasiriamali wako huanzia kwenye wazo, ni wazo pekee ndo litadetermine safari yako, so huhitaji kufanya mzaha kabisa na idea
Na the best business idea ni ile unayo tengeneza wewe mwenyewe, kwa kuangalia wakato uliopo na ujao, mazingira na kazalika

Nashukuru bro kwa mchango wako, hata hapo kwa uliyoyasema pia yamenipa fikra pia, nashukuru sana, kuuliza na kupata idea inaweza kuwa njia moja wapo ya maendeleo, unaweza usiwe na idea ila kupitia ushauri ukawa ktk nafasi nzuri na pia kufanya mambo makubwa, there are some entrepreneur grows slowly. Iam one of them, believe me iam determined with it and iam going to get a business idea. Sijakurupuka kuandika maneno haya.
 
Wana JF wenzangu, muhali
gani? Muwazima? Ama baada ya salamu ningependa kuwasilisha jambo na pia
kuomba ushauri wenu wa mawazo ili tu nami niwe mwenye kufunzika na
kunufaika, mimi nipo Mwanza, Malimbe na pia nina mtaji wa mil. 2 na
nusu, ningeomba mchango wenu juu ya idea gani ya biashara yenye kufaa na
kuendana na eneo nililopo kwani ni jambo ambalo limekuwa likinisumbua
sana bila ya kupata suluhisho, tafadhali naomba mchango wako wa mawazo,
asanteni sana.

Wadau naomba
ushauri,nimefanikiwa kupata kiasi hicho cha pesa hapo juu, je nibiashara
gani inayoweza kunizalishia ili niuepuke umaskini?

Ungekuwa Dar Ungeweza kukopesha kwa riba. Nina dharura nataka kutatua, kwa kuanzia ungeweza kunikopesha Mimi Mil 1 nikakukabidhi mali ya thamani tukaandikishana kisha nikakurudishia mil 1.5 baada ya muda tutakao kubaliana.
 
Ungekuwa Dar Ungeweza kukopesha kwa riba. Nina dharura nataka kutatua, kwa kuanzia ungeweza kunikopesha Mimi Mil 1 nikakukabidhi mali ya thamani tukaandikishana kisha nikakurudishia mil 1.5 baada ya muda tutakao kubaliana.

Ni PM tuweze wasiliana juu ya hiyo mali ulokuwa nayo.
 
Wana JF wenzangu, muhali gani? Muwazima? Ama baada ya salamu ningependa kuwasilisha jambo na pia kuomba ushauri wenu wa mawazo ili tu nami niwe mwenye kufunzika na kunufaika, mimi nipo Mwanza, Malimbe na pia nina mtaji wa mil. 2 na nusu, ningeomba mchango wenu juu ya idea gani ya biashara yenye kufaa na kuendana na eneo nililopo kwani ni jambo ambalo limekuwa likinisumbua sana bila ya kupata suluhisho, tafadhali naomba mchango wako wa mawazo, asanteni sana.

subir mwez wa 7 wkt wa mavuno gunia la maindi linauzwa adi 25000...nunua maindi then hifadh kwenye drums...ikifika february bei huwa inapanda had 90000
 
subir mwez wa 7 wkt wa mavuno gunia la maindi linauzwa adi 25000...nunua maindi then hifadh kwenye drums...ikifika february bei huwa inapanda had 90000

kwa hiyo mili 2 anayoitegemea izalishe apate mkate wa kila siku then unamwambia adeal na faida ya wenye pesa za kuwekeza na wakazisahau..maana hadi feb ndo faida
 
Imba bongofleva nasikia inalipa,laki4 studio,milion moja unawalipa kina ruge kupitia OSATA iliyobak unanunua skin jeans na miwan meus mikubwa
 
hahahaahah mkuu King Kong III ndo nini hicho?? duh mawazo yako me hucheka tuu!!!!!11
 
kwa hiyo mili 2 anayoitegemea izalishe apate mkate wa kila siku then unamwambia adeal na faida ya wenye pesa za kuwekeza na wakazisahau..maana hadi feb ndo faida

i thought iyo mil 2.5 ni savings...kama ingekua ela ya kula c angeshaitumia....nothing comes easy...u should note that in most other business ideas part kubwa ya huo mtaji utaishia kwenye start up costs
 
Back
Top Bottom