Mtaji wangu wa Mil 2.5 je ni BIASHARA ipi naweza anza nayo? (NIPO Mwanza)

Mtaji wangu wa Mil 2.5 je ni BIASHARA ipi naweza anza nayo? (NIPO Mwanza)

wazo halisi litatoka kwako, kuna mengi yakuyayajali wakati unafikiri ni business ipi uanze, kimsingi hapa unataka kujua biashara gani inalipa? kama consultant nakwambia biashara yoyote inalipa japo it depends on a number of factors!! unahitaji kutumia atleast some little amount for consultancy fee, kaa na mtaalam mu-digest factors zote za msingi then utapata jibu sahihi; I normally do the same for my clients like you.
visit DEVELOPMENT CONSULTANCY SERVICES
 
i thought iyo mil 2.5 ni savings...kama ingekua ela ya kula c angeshaitumia....nothing comes easy...u should note that in most other business ideas part kubwa ya huo mtaji utaishia kwenye start up costs

Nashukuru mheshimiwa nitaliweka akili "cost consideration"
 
Anza biashara ya kuku wa kisasa

nashukuru mheshimiwa jambo hili hadi sasa ndio nimeanza calculate costs na kuangalia feasibility study yake then ntahamia ktk soko lake na pia kuangalia risks zake pia.... thanx
 
Wana JF wenzangu, muhali gani? Muwazima? Ama baada ya salamu ningependa kuwasilisha jambo na pia kuomba ushauri wenu wa mawazo ili tu nami niwe mwenye kufunzika na kunufaika, mimi nipo Mwanza, Malimbe na pia nina mtaji wa mil. 2 na nusu, ningeomba mchango wenu juu ya idea gani ya biashara yenye kufaa na kuendana na eneo nililopo kwani ni jambo ambalo limekuwa likinisumbua sana bila ya kupata suluhisho, tafadhali naomba mchango wako wa mawazo, asanteni sana.

Je hapo unapokaa ni busy area? Kama ni busy area tafuta chumba cha biashara uanze na drinks za azam na MAJI nakua anza uweke kitu kama Maxcom machine (unaweza kunitumia private message )ambayo utauza vouchers na Airtel money ipo kwenye Maxcom machine utaweka kama laki 3 hivi uanze nazo na vitu ambavyo utafanya utafiti na kujua wateja wanataka nini?
Kam siyo busy area acha usiingie kwenye biashara hii utapoteza hela yako
unaweza kunitumia private email kwa maelezo mengine kama utataka
 
Je hapo unapokaa ni busy area? Kama ni busy area tafuta chumba cha biashara uanze na drinks za azam na MAJI nakua anza uweke kitu kama Maxcom machine (unaweza kunitumia private message )ambayo utauza vouchers na Airtel money ipo kwenye Maxcom machine utaweka kama laki 3 hivi uanze nazo na vitu ambavyo utafanya utafiti na kujua wateja wanataka nini?
Kam siyo busy area acha usiingie kwenye biashara hii utapoteza hela yako
unaweza kunitumia private email kwa maelezo mengine kama utataka

Sawa mheshimiwa, wait niku PM unipe ujanja zaidi...
 
Niko bukoba. Nahitaji business partner kwa biashara ya samaki. PM for details.
 
Nina wazo la biashara ambayo mtaji wake haifik hata 2m so call me tushauriane
+255766 697561
 
habari zenu ndugu zangu pamoja na kaka zangu. mimi nikijana wakitanzania ambae naishi nje ya nchi ila nimechoka kuishi huku nakufanya kazi nimejaribu kufanya biashara yakuleta eletronic used kama tv plasma.ma freezer na kila kitu cha eletronic nimewatumia wadogo zangu 40 fit conntener kama mara 6 ila sikupata faida yoyote zaidi yahasara ila wameniambia kua biashara zanzibar ningumu sana nimefikiria kupeleka dar je biashara huyo ipo dar na inakwenda vizuri na maeneo yapi ndio maeneo yake na naweza kupata mlango kiasi gani katika maeneo hayo naomba ushauri wenu munisaidie kwani nahitaji kuimarisha nyumba ukitaka mawasiliano na mimi nitumie number private
 
Mzigo unatoka nchi gani? Nalo muhimu pia, me mwenyewe niko nje na nilikua na mpango wa business na Tanzania lkn sasa kaka ushaniogopesha.
 
kaka mzigo nachukua england napakia mzigo mzuri sana ila tatizo kwamba faida inakua haipatikani, ila nimefikiria hata kufungua supermarket kwani uk vitu naweza kupata rahisi nikachanganya na vitu vya dubai
 
tafuta pesa zaidi huo mtaji mdogo sana labda uingie kwenye minada ila ukitaka frem ,ulipe pango haita kutosha
 
kopo haitoshi kivipi ? nnauwezo wakupakia 40fit conntener used eletronic
 
Back
Top Bottom