Mtakatifu Paulo, ulaghai wa kutumia misamiati tata, na umachiaveli

Mtakatifu Paulo, ulaghai wa kutumia misamiati tata, na umachiaveli

Nimekutana na msamiati mpya kwangu ambao sijauelewa maana yake , umachiaveli maana yake please.
Umachiaveli umefafanuliwa katika andiko hilo.

Ni itikadi ya Niccolo Machiavelli, muitaliano wa kale.

Alifundisha kwamba: lengo jema linaweza kunaikishwa kwa mbinu yoyote, hata kama ni haramu.
 
Nimesoma haya:
  1. Descriptive philosophy: This is First order knowledge. It includes
    1. metaphysics,
    2. logic,
    3. epistemology, etc.
  2. Normative Philosophy: This is Second order knowledge,that depends on first order knowledge. It includes
    1. ethics,
    2. axiology, etc.
  3. Applied philosophy: This is Third order knowledge that depends both on first and second order knowledges.It includes
    1. philosophy of politics,
    2. philosophy of economics,
    3. philosophy of sex,
    4. philosophy of technology,
    5. philosophy of medicine,
    6. philosophy of religion,
    7. philosophy of sports,
    8. philosophy of education,
    9. philosophy of science,
    10. philosophy of marriage,
    11. philosophy of peace and war,
    12. philosophy of society,
    13. philosophy of management, etc.
Na bado naendelea kujielimisha.
Inawezekana mtu kuyasoma kw njia ya mtandao? Hongera sana
 
Back
Top Bottom