Kwanza nashukuru MUNGU, Kwa kutuweka hai,
Napenda kuchukua fursa hii, kuwatakia kheri, ya Christmas na mwaka mpya
finacial sevises
mshanajr
jiwejr mawardat Zero IQ Moderator
Na member wengine wote,nawatakia sherehe njema!!!!!
MTAKIE KHERI MWANA JF YEYOTE UNAYEMKUBALI.
Bila kumtakia Christmas and happy new Year boss kubwa
#Maxence Mello & co
Huu Uzi utakua ni uzushi kama uzushi mwingine maana yeye Ndie aliyetukutanisha hapa!
Anyway
Members wote nawakubali sana sana bila nyie nothing here!
Peace & Love members!