Merry Chtistmas to you too Gallius..Makiwendo valentine mahondaw kheri ya christmass kwenu wapendwa…
Bila kumsahau kubwa la maadui GENTAMYCINE heshima kwako mkuu…
Mimi siyo Bosslady[emoji23]Natumaini siku imekwenda vyema Bosslady…
Nimeacha hizo Mambo...[emoji23]Karibu Montana VIP lounge Bosslady… [emoji3]
Merry Chrismass na kwako pia NkamuMerry Christmas To
Habun
Makiwendo
Saint Anne
Khantwe
Sakayo
Shunie
Heaven Sent
Chakorii
Lizzy
Carleen
ERoni
Watu8
Extrovert
Shimba Ya Buyenze
RRONDO
Kijana wa hovyo hovyo
Mshana Jr
Da'Vinci
geraldincredible
Mjep
Na Wanajf Wote
Endelea kuniombea[emoji2]Haahaa Hongera sana kwa kupumzika… [emoji13][emoji13]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka kwa sauti sana ujue, mimi niko katika maombi mwakani napumzika kabisa [emoji1488] niombee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usicheke... Tuombeane aisee..
Karibu Chamani..[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Amina.. Amina..Amina na imani tutashinda nipo kwenye research nzito hapa, kuna vitu navipima [emoji3]
Nililewa nimerudi asubuhi sasa hv ndio naamka..Thank you Inside10
Namalizia cha jioni nielekee kupombeka
Karibu cha uswazi...
View attachment 2057396
Acha siasa nasubiria zawadi yanguwewe nakupa dhawadi ya moyo wangu[emoji7],uchukue,maana dhawadi zingine naona kama hazikufai
Sema kweli?
Pole, mwaka mpya nitakuja kukukanda kukutoa uchovuNililewa nimerudi asubuhi sasa hv ndio naamka..