Mtakie kheri ya Christmas na Mwaka Mpya, member yeyote unayemkubali hapa

Mtakie kheri ya Christmas na Mwaka Mpya, member yeyote unayemkubali hapa

Na mimi naomba niwatakie heri watu wangu wa nguvu kama ifuatavyo
Naanza na my step daughter Heaven Sent. Sijui ulifikiria nini kujiita hivi ila jina hili limepita mulemule.... you're truly a heaven sent gift to us. Mungu akutunze huu mwaka na mingine ijayo uendelee kufanyika baraka kwa wote wanaokuzunguka. Msalimie mzee wako Kaboom mwambie nimemmisi...na mama yako hivi ndio yule Habun? Mwambie namtakia heri ya mwaka mpya
Mdogo wangu Saint Anne umekuwa ndugu yangu sasa sio rafiki tu..mwaka 2022 ukawe mwaka wa kutimiziwa ndoto zako.
Karma Joanah Carleen financial services my babe Culture Me nawatakieni kila lenye heri
Kaka zangu, wadogo zangu, rafiki zangu Relief Mirzska The Monk Mjep my pachaz RRONDO TANMO Chaliifrancisco Bonny (umepotea sana) Bufa MO11 Extrovert Shimba Ya Buyenze Watu8 my uncle andjul Carlos The Jackal Inside10
Wadau wangu wote wa vituko mitandaoni mkiongozwa na mzee wenu mshirikina Mshana Jr nawasalimu Sana
Wadau wangu wa uzi wa likes sijawasahau nawakumbuka Sana... capitalpool my all time crush awawakilishe kwenye salamu zenu
Wadau wangu wakorea weusi DAEMUSHIN Numbisa Nifah The Happiness wengine majina yenu magumu jamani[emoji28][emoji28]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Thank you dear Khantwe , tunakutakia heri pia na kila lililojema likatimie🙏😘
 
Na mimi naomba niwatakie heri watu wangu wa nguvu kama ifuatavyo
Naanza na my step daughter Heaven Sent. Sijui ulifikiria nini kujiita hivi ila jina hili limepita mulemule.... you're truly a heaven sent gift to us. Mungu akutunze huu mwaka na mingine ijayo uendelee kufanyika baraka kwa wote wanaokuzunguka. Msalimie mzee wako Kaboom mwambie nimemmisi...na mama yako hivi ndio yule Habun? Mwambie namtakia heri ya mwaka mpya
Mdogo wangu Saint Anne umekuwa ndugu yangu sasa sio rafiki tu..mwaka 2022 ukawe mwaka wa kutimiziwa ndoto zako.
Karma Joanah Carleen financial services my babe Culture Me nawatakieni kila lenye heri
Kaka zangu, wadogo zangu, rafiki zangu Relief Mirzska The Monk Mjep my pachaz RRONDO TANMO Chaliifrancisco Bonny (umepotea sana) Bufa MO11 Extrovert Shimba Ya Buyenze Watu8 my uncle andjul Carlos The Jackal Inside10
Wadau wangu wote wa vituko mitandaoni mkiongozwa na mzee wenu mshirikina Mshana Jr nawasalimu Sana
Wadau wangu wa uzi wa likes sijawasahau nawakumbuka Sana... capitalpool my all time crush awawakilishe kwenye salamu zenu
Wadau wangu wakorea weusi DAEMUSHIN Numbisa Nifah The Happiness wengine majina yenu magumu jamani[emoji28][emoji28]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Mtawa, ni maombi yangu huu mwaka ukawe wa kuongezeka kwa kila jema utakaloweka mkono wako.
 
Mademu wa jf wajinga sana wakitajwa humu wanajiona keeeekiiii kumbe wanadanga tu.

Taratibu mkuu, tuhuma kali sana hizi, uvumilivu staha, heshima na utu muhimu sana.

Usisahau ID yako ina kg nyingi, sio nyepesi na inaheshima zake, umeenda mbali sana.
 
Taratibu mkuu, tuhuma kali sana hizi, uvumilivu staha, heshima na utu muhimu sana.

Usisahau ID yako ina kg nyingi, sio nyepesi na inaheshima zake, umeenda mbali sana.
Mkuu never take life so seriously that way am obsessed with fame but I had never been so in jf despite my useful contribution that is y I despise all here especially women.
 
Mkuu never take life so seriously that way am obsessed with fame but I had never been so in jf despite my useful contribution that is y I despise all here especially women.

You are The Legend Chief!
 
Back
Top Bottom