Asante sana, ubarikiweNawatakia Christmas Njema Moderators, members wote wa JF including financial services and Sky Eclat.
[emoji7][emoji7][emoji7] thanks nawee pia.
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji4][emoji4][emoji4]Merry Christmas & happy New year babe one one na wengine wote..[emoji7][emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Thank you ππΎSky Eclat
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mademu wa jf wajinga sana wakitajwa humu wanajiona keeeekiiii kumbe wanadanga tu.
Nlikua naumwa, hata hivyo sijapona vizuri.Ulipotea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] usiseme hukuambiwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndo utajua hujui nakwambia, tulia tu wifi yangu.
Kuna mtu kakichafua kule juu yako ngoja niutafutePlz hebu nitag kwenye huo uzi nahitaji kuuona haraka iwezekanavyo.
Ukiupata nami nikaribishePlz hebu nitag kwenye huo uzi nahitaji kuuona haraka iwezekanavyo.
Fanya aseeeh niuone huko uzi, please fanya kweli niuone huko uzi.Kuna mtu kakichafua kule juu yako ngoja niutafute
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hutaki kupitwa jomoneeh lol., usijar babeeeh ntakutag.Ukiupata nami nikaribishe
Fanya aseeeh niuone huko uzi, please fanya kweli niuone huko uzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona sijapata notification jaman khaaaah.Tafuta uzi unaousema je ushoga umehalalishwa tanzania? Kuna mtu kakutaja kabisa kwamba wewe ni mtetezi wao na amekutag.
Nautafuta siuoni mbona jaman, sijui.umefutwa mweeeh.Tafuta uzi unaousema je ushoga umehalalishwa tanzania? Kuna mtu kakutaja kabisa kwamba wewe ni mtetezi wao na amekutag.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ningekiwasha humo yaan daaah. Poaaah bhana lolUmefutwa
ππThank you ππΎ