Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasemaje, nimekoma!!!!![emoji2][emoji2][emoji2] inaonekana dau lako lilikuwa kubwa sana ndio maana jamaa akatumia masaa vizuri ili kufidishia hiyo pesa.....
Alikusulubu kwa nyama nyama ama mpira.....
Acha tu, yani unachoniambia ni sawa na kujiuliza kuku alikubali vipi kuchinjwa si angekimbia....nilijua vimaji vifupi ntaviruka tuNakumrusha pembeni ulikua unasubiri nini
Bora kuliwa funza, nilitembea kama funza mwenyeweDawa yenu ndo hiyo hadi ukitoka hapo utembee kama umeliwa funza
He he he heOoohh nmehisi aibu ghafla
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseeh!mi nilivyo mvivu looh!ningeangusha kilio balaaaBora kuliwa funza, nilitembea kama funza mwenyewe
Inaonekana aliipiga sana.. pole kwa kweli..Bora kuliwa funza, nilitembea kama funza mwenyewe
Niliblock namba bro, baada ya siku tatu mwili kupoa, na organ zote za mwili kurudi katika hali ya kawaida nikarudi kwa ile number taratibu nikai unblock....
Ilikua "hata ukilia bakora unazo"[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseeh!mi nilivyo mvivu looh!ningeangusha kilio balaaa
Nliweka barafu, ahsanteAisee pole kajikande na maji ya moto sasa
AhsanteInaonekana aliipiga sana.. pole kwa kweli..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sanaNliweka barafu, ahsante
maji ya moto juu ya moto!!!hunipendi
Bro ulikuja kwenye Harusi yangu????We si umeolewa lakini?
Hapo kama jamaa ana umeme hakika lazima uunganishwe kwenye grid ya taifa...teh teh!Sijui, nakumbuka nilijipa huduma ya kwanza kwa kuweka barafu ikawa kama pamepata ganzi hiyo ndo pona yangu la sivyo ningekalia mgongo badala ya kalio
Kipigo kibaya sana.Ilikua "hata ukilia bakora unazo"